the hunterer
Senior Member
- Jul 15, 2014
- 145
- 38
Habari wana Jf,
Kijana kamaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata div 1 ya PCB.Kwa matokeo haya amefanya application katika chuo cha MUHAS,UDSM,CUHAS na KCMC kwa course ya MD.Sasa kutokana na ushindani anataka kubadili course kwani anaogopa kukosa admission,
Naombeni ushauri wenu kijana afanyeje.
Kijana kamaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata div 1 ya PCB.Kwa matokeo haya amefanya application katika chuo cha MUHAS,UDSM,CUHAS na KCMC kwa course ya MD.Sasa kutokana na ushindani anataka kubadili course kwani anaogopa kukosa admission,
Naombeni ushauri wenu kijana afanyeje.