Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,074
kuna rafiki yangu anamatatizo katika ndoa yake, ameolewa ana miaka mitatu sasa, anadai mumewe amebadilika sana baada ya kupata kazi yenye kipato kikubwa, kununua gari na kujenga nyumba ambayo wanaishi sasa, anadai mume kwa sasa hashindi tena ndani kama zamani, hamshirikishi tena katika maamuzi ya kifamilia kama zamani, na akimuuliza anakuja juu sana, imefikia stegi hampi hela ya matumizi na akimpa 10000/= basi ni kwa wiki nzima asiulize tena kuhusu pesa ya matumizi , ihali ndani hakuna kitu chochote.mume huyu anatoka kazini saa 9, lkn anafika home saa 5 usiku. na hanywi pombe anakuwa wapi?
wana JF ambao mnajua nn maana ya ndoa , na uchungu wake . naomba mchango tafadhali, na pia wale wenye kejeli tafadhali naomba msichangie maana ni muhimu sana mpk nimeleta hapa kwenye jukwaa hili.
wana JF ambao mnajua nn maana ya ndoa , na uchungu wake . naomba mchango tafadhali, na pia wale wenye kejeli tafadhali naomba msichangie maana ni muhimu sana mpk nimeleta hapa kwenye jukwaa hili.