Anaomba tuachane na sio kutengana!

F12

Member
Jun 15, 2011
55
9
Jamani mwenzenu najiona wazi naelekea kumkosa yule niliyempenda kwa dhati ya moyo wangu kwa sababu kadhaa ambazo hazikuwa na uhalisia kama anavyodai mwenza wangu! Kiukweli nlibaini kuwa mwenzangu ana moyo dhaifu sana kwani hata akisikia jambo la utani hunikasirikia na hata kuomba kuachana, basi nkisuruhisha anajirudi na tunaendelea tena. Kali na mpya zaidi ni baada ya kunichunia kwa siku 3 ghafla, sababu eti kuna mtu alimtumia ujumbbe mfupi wa maandishi uliosomeka "wewe usipende kugombana na wanawake wenzio, huyo unaemwita mpenzi wako hajatulia, habari ndiyo hiyo" Hapo ndio ulikua mwisho na kunambia kwanza keshampata mwingine hataki kuwa nami kwan kalichoka penzi langu lililojaa mateso na kumpa pressure kila siku, na pia hajali kitendo cha kuwafahamisha wazazi wetu juu ya uhusiano tulokua nao toka 2009, na binafsi toka nimemjuza mother ni wiki sasa inakaribia kupita so najiuluza nitatengua vp taarifa hizi kwa mother za kutengana na mtu mwenyewe ndio kasema nisimpigie tena simu kujadili mapenzi labda ishu nyingine.
How can I do friends, kwan migogoro mingi nimepanchi kwa kumthibitishia uhalisia wa aliyoyasikia na jinsi yalivyo na kwa sasa ndio hataki hata kunisikiliza kujitetea. NAMPENDA KIUKWELI LAKINI ANANITESA ZAIDI YA SANA JAMANI.
 
Dah! Pole... Mapenzi Kizungu zungu.... Naomba soma post yako with a fresh eye...
utagundua kua sio wako tena for hakupendi... hio message alotumiwa ni minor saana
kusababisha yee aamue hufai....
 
kupenda kubaya,kupenda upofu,kupenda ni kujiumiza,kupenda maradhi.hasa unaempenda awe haeleweki.raha ya mapenzi,ni wote mpendani.huyo dada hakutaki,usiogope kumweleza mama yako mzazi.huwezi jua kiukweli is for the best,let her go,ya nini kujitesa sehemu ambayo hupendwi.ni ngumu ila jinasue haraka na uji keep busy.
 
duuuuuuuuu!!!!!

kaka/dada nilipokuwa nisoma hii post yako mwiliwangu ulikufa ganzi na nikawa nirudia marambilimbili coz ulichokiandika ndicho nilichokipata mwenzio. hadithi ni ile ile' miaka 2' 'nimempenda kwa dhati' 'kujulikana kwa wazazi' kutoa kauli kuwa 'kalichoka penzi langu linalompa pressur' yaan nilijua aliyeandika hapa ndo huyo aliyekuwa ananifanyia mimi. ITS TOOOO PAINFULL hasa kwa mtu unaye/uliyempenda kwa dhati

mwenzako maumivu nimeshayaamisha, now nayaugulia upande mwingine, maumivu niliyoyapata katika mahusiano yameisha but now maumivu nayoyapata ni haya ya Kuacha, NILIMPENDA SANA mwenzangu nikajikaza kisabuni nikachukua uamuzi wa kumuacha mwezi MAY lakini maumivu nayopata sijui kwanini,

ndugu yangu hayo ndiyo mapenzi kwasasa siamini kama kunaambaye anaweza dumu na mtu muda mrefu, mimi nawaogopa sana, tena utapomuacha atakuwa wa kwanza kujishuku kwa FACEBOOK au JF (kamamember), I HATE THEM SO MUCH TENA SAANA NA SAAAANA

mimi bado naamini kakika filosofia kuwa 'kama anakupenda kwa dhati hawezi kuonaunateseka hata sikumoja' atakupenda atakueshimu, atakusikiliza, atakuomba msamaha hata kama umekosa wewe. KUMBUKA WADUMUO KAKIKA MAPENZI NI WALE WAISHIO KWA HOFU KATIKA UHUSIANO kwani kila mmoja huwa anaishi kuhofia kumpoteza mwenziwake coz anampenda sana'

POST YAKO IMENIGUSA SANA KAKA COZ UNACHOKIPATA NDO NAMI NIMEKIPATA FOR ALMOST THE SAME PERIOD OF TIME na jana niliandika thread moja inayosema 'NIMEMUACHA LAKINI NAUMIA MIMI' (please soma hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/168839-nimemuacha-lakini-naumia-mimi.html utapata msaada pia coz ni msaada niliopata kwa wana forum) jamani mapenzi %#@@$#%&^^$*&*&*(%^HJRUJ$%^&#%#^#^#%^@^%& SANA TENA SANA NA SANA.

unaweza nitumia private sms kwa msaada zaidi coz nahisi nimeexperience kidogo nishee experience nawewe

AHASANTE
 
duu narudia tena kusema 'wanawake wote ni sawa tena kabisaaaa'


kaka nilipokuwa nisoma hii post yako mwiliwangu ulikufa ganzi na nikawa nirudia marambilimbili coz ulichokiandika ndicho nilichokipata mwenzio. hadithi ni ile ile' miaka 2' 'nimempenda kwa dhati' 'kujulikana kwa wazazi' kutoa kauli kuwa 'kalichoka penzi langu linalompa pressur' yaan nilijua aliyeandika hapa ndo huyo aliyekuwa ananifanyia mimi. ITS TOOOO PAINFULL hasa kwa mtu unaye/uliyempenda kwa dhati

mwenzako maumivu nimeshayaamisha, now nayaugulia upande mwingine, maumivu niliyoyapata katika mahusiano yameisha but now maumivu nayoyapata ni haya ya Kuacha, NILIMPENDA SANA GIRLFRIEND wangu nikachukua uamuzi wa kumuacha mwezi MAY lakini maumivu nayopata sijui kwanini,

ndugu yangu hao ndio dada zetu ambao kwasasa siamini kama kunaambaye anaweza dumu na mtu muda mrefu, mimi nawaogopa sana, tena utapomuacha atakuwa wa kwanza kujishuku kwa FACEBOOK au JF (kamamember), I HATE THEM SO MUCH TENA SAANA NA SAAAANA

mimi bado naamini kakika filosofia kuwa 'kama anakupenda kwa dhati hawezi kuonaunateseka hata sikumoja' atakupenda atakueshimu, atakusikiliza, atakuomba msamaha hata kama umekosa wewe. KUMBUKA WADUMUO KAKIKA MAPENZI NI WALE WAISHIO KWA HOFU KATIKA UHUSIANO kwani kila mmoja huwa anaishi kuhofia kumpoteza mwenziwake coz anampenda sana'

POST YAKO IMENIGUSA SANA KAKA COZ UNACHOKIPATA NDO NAMI NIMEKIPATA FOR ALMOST THE SAME PERIOD OF TIME na jana niliandika thread moja inayosema 'NIMEMUACHA LAKINI NAUMIA MIMI' jamani mapenzi %#@@$#%&^^$*&*&*(%^HJRUJ$%^&#%#^#^#%^@^%& SANA TENA SANA NA SANA.

unaweza nitumia private sms kwa msaada zaidi coz nahisi nimeexperience kidogo nishee experience nawewe

AHASANTE
pole kwa yaliyokukuta.ila sio wadada wote,ambao wako hivyo.mbona na wakaka mkipiga vibuti mnavipiga hasa,pengine na matusi juu.muhimu yakikukuta unajifunza,baadae unakuwa more careful.jipe break ya muda,na amini ipo siku utapata wako ambae atakupenda,na utajiuliza siku zote huyu mtu alikuwa wapi
 
Laiti angelijua kuwa mapenzi ni safari ndefu ilojaa kila aina ya vigingi mbona hicho cha mtoto?? Kuna wanaoletewa mpaka picha za watoto wa watu wakitaarifiwa kuwa huyu ni mtoto wa mchumbako unayejidai naye na kumbe ni nia tu ya kuwaharibia!! Atajajuta hapo baadae huyo. Huyu asinisumbue kichwa kwa kutokuelewa kwake, woga wangu uko kwako........
Pole sana maana naelewa unaumia sana lakini jipe moyo, jikaze usikimbilie kwenye mahusiano mapya na piga goti mwombe MUNGU amfunue na kumpa macho ya uelewa huyu mpenzi wako kabla haijawa too late!
 
POST YAKO IMENIGUSA SANA KAKA COZ UNACHOKIPATA NDO NAMI NIMEKIPATA FOR ALMOST THE SAME PERIOD OF TIME na jana niliandika thread moja inayosema 'NIMEMUACHA LAKINI NAUMIA MIMI' (please soma hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano...umia-mimi.html utapata msaada pia coz ni msaada niliopata kwa wana forum) jamani mapenzi %#@@$#%&^^$*&*&*(%^HJRUJ$%^&#%#^#^#%^@^%& SANA TENA SANA NA SANA.

umemwacha au yeye ndiye kakuacha?
 
Laiti angelijua kuwa mapenzi ni safari ndefu ilojaa kila aina ya vigingi mbona hicho cha mtoto?? Kuna wanaoletewa mpaka picha za watoto wa watu wakitaarifiwa kuwa huyu ni mtoto wa mchumbako unayejidai naye na kumbe ni nia tu ya kuwaharibia!! Atajajuta hapo baadae huyo. Huyu asinisumbue kichwa kwa kutokuelewa kwake, woga wangu uko kwako........
Pole sana maana naelewa unaumia sana lakini jipe moyo, jikaze usikimbilie kwenye mahusiano mapya na piga goti mwombe MUNGU amfunue na kumpa macho ya uelewa huyu mpenzi wako kabla haijawa too late!

wakati mwingine ni afadhali akamshukuru Muumba kwa kumwondolea hii karaha mapema...........................waswahili husema ya kuwa kheri nusu ya shari kulikoni shari kamili...............
 
Kuvuja kwa pakacha............................. Angalia mbele sahau yaliyopita.
 
Hakuna kupanic mkuu, weka mipango yako mingine sawa, tafuta mwingine taratibu na uwe makini usijerudia mtu wa aina ile.Kitu kingine, ongeza vigezo vya kumpata mwingine kama unaona shida kuvuta pumzi kidogo huku ukiwa busy kufanya mambo yako ya msingi.
 
Pole ndugu ndio safari. Jitahidi ukipata mwengine usipende kupita kiasi kabla ya ndoa na pia usiruhusu uchumba wa muda mrefu kwani unatoa miaya ya fitna wakati mwengine japo kwenye ndoa pia yapo lakini yakitokea kuna njia za kusuluhisha. Jipe moyo kwani ndio kwanza umeianza safari sisi wengine tuliooa hatukuoa mchumba wa kwanza bali mchumba watatu na maisha yanasonga mbele wala hatujutii hawa tulionao.
 
mwambie akuimbie huu wimbo akigoma basi wewe umwimbie..................usihofu.............

 
Last edited by a moderator:
Kubali matokeo mkuu na Mungu atakujalia umpate atakae kupenda na kukuamini sana...using'ang'anie usipopendwa na kuaminiwa.
 
usilazimishe maji kupanda mlima kaka, kuwa mwelewa umependa tena kwa dhati lakini mwenzio hajakupenda. Jikatae.
 
Jamani mwenzenu najiona wazi naelekea kumkosa yule niliyempenda kwa dhati ya moyo wangu kwa sababu kadhaa ambazo hazikuwa na uhalisia kama anavyodai mwenza wangu! Kiukweli nlibaini kuwa mwenzangu ana moyo dhaifu sana kwani hata akisikia jambo la utani hunikasirikia na hata kuomba kuachana, basi nkisuruhisha anajirudi na tunaendelea tena. Kali na mpya zaidi ni baada ya kunichunia kwa siku 3 ghafla, sababu eti kuna mtu alimtumia ujumbbe mfupi wa maandishi uliosomeka "wewe usipende kugombana na wanawake wenzio, huyo unaemwita mpenzi wako hajatulia, habari ndiyo hiyo" Hapo ndio ulikua mwisho na kunambia kwanza keshampata mwingine hataki kuwa nami kwan kalichoka penzi langu lililojaa mateso na kumpa pressure kila siku, na pia hajali kitendo cha kuwafahamisha wazazi wetu juu ya uhusiano tulokua nao toka 2009, na binafsi toka nimemjuza mother ni wiki sasa inakaribia kupita so najiuluza nitatengua vp taarifa hizi kwa mother za kutengana na mtu mwenyewe ndio kasema nisimpigie tena simu kujadili mapenzi labda ishu nyingine.
How can I do friends, kwan migogoro mingi nimepanchi kwa kumthibitishia uhalisia wa aliyoyasikia na jinsi yalivyo na kwa sasa ndio hataki hata kunisikiliza kujitetea. NAMPENDA KIUKWELI LAKINI ANANITESA ZAIDI YA SANA JAMANI.
Aisee!!!!
 
Laiti angelijua kuwa mapenzi ni safari ndefu ilojaa kila aina ya vigingi mbona hicho cha mtoto?? Kuna wanaoletewa mpaka picha za watoto wa watu wakitaarifiwa kuwa huyu ni mtoto wa mchumbako unayejidai naye na kumbe ni nia tu ya kuwaharibia!! Atajajuta hapo baadae huyo. Huyu asinisumbue kichwa kwa kutokuelewa kwake, woga wangu uko kwako........
Pole sana maana naelewa unaumia sana lakini jipe moyo, jikaze usikimbilie kwenye mahusiano mapya na piga goti mwombe MUNGU amfunue na kumpa macho ya uelewa huyu mpenzi wako kabla haijawa too late!
Well said MJ1
 
Back
Top Bottom