F12
Member
- Jun 15, 2011
- 55
- 9
Jamani mwenzenu najiona wazi naelekea kumkosa yule niliyempenda kwa dhati ya moyo wangu kwa sababu kadhaa ambazo hazikuwa na uhalisia kama anavyodai mwenza wangu! Kiukweli nlibaini kuwa mwenzangu ana moyo dhaifu sana kwani hata akisikia jambo la utani hunikasirikia na hata kuomba kuachana, basi nkisuruhisha anajirudi na tunaendelea tena. Kali na mpya zaidi ni baada ya kunichunia kwa siku 3 ghafla, sababu eti kuna mtu alimtumia ujumbbe mfupi wa maandishi uliosomeka "wewe usipende kugombana na wanawake wenzio, huyo unaemwita mpenzi wako hajatulia, habari ndiyo hiyo" Hapo ndio ulikua mwisho na kunambia kwanza keshampata mwingine hataki kuwa nami kwan kalichoka penzi langu lililojaa mateso na kumpa pressure kila siku, na pia hajali kitendo cha kuwafahamisha wazazi wetu juu ya uhusiano tulokua nao toka 2009, na binafsi toka nimemjuza mother ni wiki sasa inakaribia kupita so najiuluza nitatengua vp taarifa hizi kwa mother za kutengana na mtu mwenyewe ndio kasema nisimpigie tena simu kujadili mapenzi labda ishu nyingine.
How can I do friends, kwan migogoro mingi nimepanchi kwa kumthibitishia uhalisia wa aliyoyasikia na jinsi yalivyo na kwa sasa ndio hataki hata kunisikiliza kujitetea. NAMPENDA KIUKWELI LAKINI ANANITESA ZAIDI YA SANA JAMANI.
How can I do friends, kwan migogoro mingi nimepanchi kwa kumthibitishia uhalisia wa aliyoyasikia na jinsi yalivyo na kwa sasa ndio hataki hata kunisikiliza kujitetea. NAMPENDA KIUKWELI LAKINI ANANITESA ZAIDI YA SANA JAMANI.