Anaomba niwe mchepuko wake, hii imekaaje wanandoa?

Anaomba niwe mchepuko wake, hii imekaaje wanandoa?

I feel sorry for that woman. Mtazamo wangu; pengine atakua na sura mbaya au hana mvuto hivyo hana options nyingi. Huko mikoani mnaishije? Haya mambo huwezi kuyasikia mjini.

Ni mzuri sana....anavutia...ila ninachojua ameolewa na mchaga....na mimi ni wa kusini hivyo ni ladha mbili tofauti....nafikri hajapata wa kufanana nami...
 
Kuna miwanawake mijinga huku duniani ptuuuuuu!!!!!
Yaan mtu una mwanaume wako tena mume lakini bado unakipeleka kutiwa tiwa hovyo na wapumbavu walioacha wake zao nyumbani halafu baada unampelekea shombo mume wako.
Upuuz kabisa mtoa mada na hawara wako acheni umalaya
Ameniomba sana sana nimsaidie kwenye hili suala.....anasema anajutia ndoa yake
 
Usijaribu kwenda nae kokote wala kujihusisha nae chochote,sisi wanawake tunajua mno "to get even".Ukitutendea wema hakika tutakupenda na kukulipa wema saba mara sabini ila ukikutendea mabaya,amini usiamini utavuna ulichokipanda!
Ili hali kakusamehe,kuwa na amani na endelea na familia yako!
Good luck mkuu
Acha kumuita mkuu mtu aliyetesa mwanamke mwenzenu
 
smtm mtu aliyekutia kidonda cha moyo ndo ana mamlaka ya kukutibu....umenikumbusha mbali..
 
Hyo mwanamke akapimwe akili..ila wanaume nyinyi mnaweza kufanya watu wapararaizi kwa suprise zenu
 
Unajisifu kabisa kuwa una michepuko mingi wakati una mke ndani kuwa na hofu ya Mungu.
 
Ila sikumaanisha namtetea wala hata,nlishindwa tu kuandika Goodluck Ibilisi shetani,kwakuwa 'we address each other' hapa jukwaani kama 'mkuu'.
Nisamehe nimekosea MKUU
Ha ha haaaa thanx kwa kunielewa. Hata kama huyo mwanamke hatafanya revenge anataka wakawasaliti wenza wao basi anafanya hivyo kwasababu hana jinsi maana huyo jamaa ashamuharibu kisaikolojia huyo dada hivyo hana namna ya kufanya. Lakini itakuwa jambo la heri sana kama atajielewa na kumfanyia revenge
 
Kuna dalili zote kuwa mwisho wa familia yako ukawa ni hapo kwa huyo mwanamke. Hivi mwanaume mwenye familia unaombaje ushauri wa kipuuzi kama huu? Kumbuka nzi hufia kidondani kabla ya kutaadharishwa mara nyingi kwa kufukuzwa.
 
Wanawake wengi ni wajinga hasa watz nirahisi sana na hawana msimamo na imekuwa ni kama fashion tabia hiyo, wewe una mume mchepuko ni wanini?,ndio
Ule msemo una kamilika wa awali hasauliki​
 
get ready....soon u will understand why mbo..oo hu-stand.!!
 
Wanayme wengine wanajitafutia wenyewe kulawitiwa.
Ukigeuzwa uje kutoa mrejesho.
 
Offers are sweet but the consequences are considerably lethal. Huwa siwezi imagine mwanaume unamkulaje mke wa mwenzio na ukatoka/ukatarajia kutoka salama ila dunia ni dunia.
Na huyo kama ulimharibia maisha na ako na chance ya kulipa kisasi, I don't see anyhow this will end good on your part.

Nnachoona hapo ni Suala la wewe kujichimbia kaburi, begining of your own destruction
Well spoken!!
 
Lazima akuue huyo..anakutengenezea mazingira ya fumanizi uliwe 0713
 
Back
Top Bottom