Anaomba niwe mchepuko wake, hii imekaaje wanandoa?

Anaomba niwe mchepuko wake, hii imekaaje wanandoa?

ngonyango

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2017
Posts
1,887
Reaction score
1,620
Huyu mwanamke alikuwa girlfriend wangu miaka kama kumi na sita iliyopita, tulikuwa ndani ya uhusiano huo kwa muda wa miaka isiyopungua minne ofcourse kila mtu, familia, marafiki hata yeye alijua nitamuoa lakini nikabadili gia angani nikaoa mwanamke mwingine(stori ndefu) hakuna aliyeamini lakini ndiyo ilivyokuwa.

Nikawa nimemuharibia maisha yake na kumsababishia stress, frustrations etc, (hii ilikuwa inaonekana wazi wazi) kila nikutana na marafiki zake wananipa stori za huzuni kuhusu yeye nk nk, wanaomba nikamuokoe mwenzao (alikuwa shuleni na ikawa inaelekea kumshinda kabisa sababu ya ulevi wa kupindukia, bangi nk) haikuwezekana, maisha yakaendelea na baadaye akakaa sawa, akapata kazi nzuri na baadae akaolewa na kuwa na familia yake.

Tukaja kukutana kwenye mitandao, nikajistukia lakini nikashangaa akasema amenisamehe lakini hatonisahau, tukaanza tena mawasiliano mpaka ofisini kwake nikawa nakwenda kwasababu nilikuwa mteja pale mawasiliano yakaendelea, urafiki ukarudi na tumeshatoka lunch mara mbili tatu.

Majuzi, tukiwa tunachat kaniambia ana ombi maalum kwangu anaomba anipigie nikamwambia sawa piga akasema anaomba niwe mchepuko wake rasmi na hataki kuhangaika kabisa anasema amejitahidi miaka yote hawezi kunisahau anaomba hilo yupo tayari hata kulipia safari ya nje (sasa hivi anayo hiyo jeuri) ila niwe mwaminifu kwake na nisiwe na mchepuko mwingine wowote sababu wote tuna familia nk na akaniambia nisimuumize tena, ikabidi nikubali nikamwambia tutapanga very soon.

Wadau, michepuko ninayo mingi lakini hii naona kama kali zaidi, wazoefu hasa wanawake hii imekaaje?
 
Offers are sweet but the consequences are considerably lethal. Huwa siwezi imagine mwanaume unamkulaje mke wa mwenzio na ukatoka/ukatarajia kutoka salama ila dunia ni dunia.
Na huyo kama ulimharibia maisha na ako na chance ya kulipa kisasi, I don't see anyhow this will end good on your part.

Nnachoona hapo ni Suala la wewe kujichimbia kaburi, begining of your own destruction
 
Kuna miwanawake mijinga huku duniani ptuuuuuu!!!!!
Yaan mtu una mwanaume wako tena mume lakini bado unakipeleka kutiwa tiwa hovyo na wapumbavu walioacha wake zao nyumbani halafu baada unampelekea shombo mume wako.
Upuuz kabisa mtoa mada na hawara wako acheni umalaya
 
Huyu mwanamke alikuwa girlfriend wangu miaka kama kumi na sita iliyopita, tulikuwa ndani ya uhusiano huo kwa muda wa miaka isiyopungua minne ofcourse kila mtu, familia, marafiki hata yeye alijua nitamuoa lakini nikabadili gia angani nikaoa mwanamke mwingine(stori ndefu) hakuna aliyeamini lakini ndiyo ilivyokuwa.

Nikawa nimemuharibia maisha yake na kumsababishia stress, frustrations etc, (hii ilikuwa inaonekana wazi wazi) kila nikutana na marafiki zake wananipa stori za huzuni kuhusu yeye nk nk, wanaomba nikamuokoe mwenzao (alikuwa shuleni na ikawa inaelekea kumshinda kabisa sababu ya ulevi wa kupindukia, bangi nk) haikuwezekana, maisha yakaendelea na baadaye akakaa sawa, akapata kazi nzuri na baadae akaolewa na kuwa na familia yake.

Tukaja kukutana kwenye mitandao, nikajistukia lakini nikashangaa akasema amenisamehe lakini hatonisahau, tukaanza tena mawasiliano mpaka ofisini kwake nikawa nakwenda kwasababu nilikuwa mteja pale mawasiliano yakaendelea, urafiki ukarudi na tumeshatoka lunch mara mbili tatu.

Majuzi, tukiwa tunachat kaniambia ana ombi maalum kwangu anaomba anipigie nikamwambia sawa piga akasema anaomba niwe mchepuko wake rasmi na hataki kuhangaika kabisa anasema amejitahidi miaka yote hawezi kunisahau anaomba hilo yupo tayari hata kulipia safari ya nje (sasa hivi anayo hiyo jeuri) ila niwe mwaminifu kwake na nisiwe na mchepuko mwingine wowote sababu wote tuna familia nk na akaniambia nisimuumize tena, ikabidi nikubali nikamwambia tutapanga very soon.

Wadau, michepuko ninayo mingi lakini hii naona kama kali zaidi, wazoefu hasa wanawake hii imekaaje?
Mkuuu unakiri kabisa ulimfanyia kitu mbaya ulitaka kumuoa ukampotezea
Unafikiri atakuwacha salama?anakumbuka yote uliyomfanyia na hajasahauu
Unapenda mkeo awe mjane kwa sababu ya tamaaaa sijui uzinziii puuuuuumbaka
 
Offers are sweet but the consequences are considerably lethal. Huwa siwezi imagine mwanaume unamkulaje mke wa mwenzio na ukatoka/ukatarajia kutoka salama ila dunia ni dunia.
Na huyo kama ulimharibia maisha na ako na chance ya kulipa kisasi, I don't see anyhow this will end good on your part.

Nnachoona hapo ni Suala la wewe kujichimbia kaburi, begining of your own destruction
Umenena Vema
 
Back
Top Bottom