Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,019
- 16,152
Yaani mpaka amekuwa mke wako hauwajui rafiki zake!!?? Inafikirisha sana
emoloAndunje
Ina maana kwamba mkeo anakuona huna msimamo na hujitambui.Hello JF.
Last weekend nilikuwa na wife tunapiga story mbili tatu,nikamtania mbona siwajui marafiki zako?akanijibu "akuu unataka nikutambulishe kwao ili wakuibe"?
Ofcoz wife ana marafiki visu sana, naonaga anawapost kwenye status zake kuwawish birthday, ebana ni wakali hatari.ila my point is, mbona anahofia wataniiba?kanionaje kwa mfano?
Karibuni kwa mawazo yenu.
Ahahaha kwamba mkewe yupo chama la kuiba wanaume!!Jf raha sana....
Mtoa mada anajuta kuleta tiredi apa
Lipia tangazoHello JF.
Last weekend nilikuwa na wife tunapiga story mbili tatu,nikamtania mbona siwajui marafiki zako?akanijibu "akuu unataka nikutambulishe kwao ili wakuibe"?
Ofcoz wife ana marafiki visu sana, naonaga anawapost kwenye status zake kuwawish birthday, ebana ni wakali hatari.ila my point is, mbona anahofia wataniiba?kanionaje kwa mfano?
Karibuni kwa mawazo yenu.
niliwaza Kama weweIsije ikawa anaogopa kuchekwa mkuu