tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,814
- 15,095
Hello JF.
Last weekend nilikuwa na wife tunapiga story mbili tatu,nikamtania mbona siwajui marafiki zako?akanijibu "akuu unataka nikutambulishe kwao ili wakuibe"?
Ofcoz wife ana marafiki visu sana, naonaga anawapost kwenye status zake kuwawish birthday, ebana ni wakali hatari.ila my point is, mbona anahofia wataniiba?kanionaje kwa mfano?
Karibuni kwa mawazo yenu.
Last weekend nilikuwa na wife tunapiga story mbili tatu,nikamtania mbona siwajui marafiki zako?akanijibu "akuu unataka nikutambulishe kwao ili wakuibe"?
Ofcoz wife ana marafiki visu sana, naonaga anawapost kwenye status zake kuwawish birthday, ebana ni wakali hatari.ila my point is, mbona anahofia wataniiba?kanionaje kwa mfano?
Karibuni kwa mawazo yenu.