Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu poleni na msiba wa lowasa na hongereni kwa maandamano ya chadema mwanza.
Kuna mdada anafanya kaz ya saidia mapish yan kwa mama ntilie kaz yake n kupeleka oda kwa wateja, wapo jiran na ofsn kwangu. Niliamua kumsaidia baada ya kupata taarifa mumewe amemtelekeza na kaoa mwanamke mwngn nlimwambia kwangu kuna vifaa kadhaa vya kufanyia kaz nimpe hivyo vitu na mtaji kwa makubaliano awe ananiletea buku kila sku akakubali bahat nzuri mitaa anayoish ndipo na mimi naish nikamuelekeza home na nikampa taarifa mwanamke ninayeish naye kwmb atakuja mdada umuonyeshe vitu vile vya biashara na uende nae kwake ukapajue ndpo nitamkabz
Zlipta sku kadhaa sku moja kanitumia ujumbe kwmb anaenda atamkuta mwanamke wng nkamwambia nenda utamkuta bt hakwenda sku nyngn tena akasema anaenda pia hakwenda sa leo nimekutana nae anasema eti anaogopa eti pengne mwanamke wng atawaza mengne juu yake nkamwambia hapn mi nikikutaka si lazma uende kwng. Sa wakuu huyu mdada nimsaidieje maana naona kama hayuko serious.
Kuna mdada anafanya kaz ya saidia mapish yan kwa mama ntilie kaz yake n kupeleka oda kwa wateja, wapo jiran na ofsn kwangu. Niliamua kumsaidia baada ya kupata taarifa mumewe amemtelekeza na kaoa mwanamke mwngn nlimwambia kwangu kuna vifaa kadhaa vya kufanyia kaz nimpe hivyo vitu na mtaji kwa makubaliano awe ananiletea buku kila sku akakubali bahat nzuri mitaa anayoish ndipo na mimi naish nikamuelekeza home na nikampa taarifa mwanamke ninayeish naye kwmb atakuja mdada umuonyeshe vitu vile vya biashara na uende nae kwake ukapajue ndpo nitamkabz
Zlipta sku kadhaa sku moja kanitumia ujumbe kwmb anaenda atamkuta mwanamke wng nkamwambia nenda utamkuta bt hakwenda sku nyngn tena akasema anaenda pia hakwenda sa leo nimekutana nae anasema eti anaogopa eti pengne mwanamke wng atawaza mengne juu yake nkamwambia hapn mi nikikutaka si lazma uende kwng. Sa wakuu huyu mdada nimsaidieje maana naona kama hayuko serious.