Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,849
- 2,628
Mkuu hizi relation tunavumilia mengi.
Tukisema hapa tunavyoangaishwa.
Jiue,Jinga sana wewe.
Mkuu hizi relation tunavumilia mengi.
Jiue,Jinga sana wewe.
Inabidi unionee huruma huu uzi wako kabisa.Sijui hapa umenisema mimiii daaa
Ni kweli..yapo mengi yaliyojificha nyuma ya paziaMkuu hizi relation tunavumilia mengi.
Tukisema hapa tunavyoangaishwa.
Achana nae..tafuta akupendae hapo unajitafutia stress tuNifanyaje sasa?
Uahaur wangu kanunue popcorns na sprite maana ww ni MPENZI MTAZAMAJ ushuhudie muvie tuHabari wana JF..
Mimi nina mpenzi wangu ambaye tayari alishazaa mtoto mmoja na mwanaume mwingine (nilimkuta tayari kasha zaa) .
Nikamtongoza akakubari, nikampenda sana naye alinijibu the same kuwa ananipenda pia. Lakini kila nilipotaka sex alikuwa akinipa muda, Mfano naweza mnikamuomba mwezi wa kwanza akanijibu nisubilie mpaka mwezi wa nne ktk likizo.
Vivyo hivyo inapofika mwezi wa nne atanambia mwezi wa 6. Ikawa kama ndio ratiba ya kunipa likizo. Nikimuuliza sababu ananiambia yuko mbali, nikimwambia nimtumie nauli ananiambia labda nimtumie hela ya kula tu na sio nauli sababu hawezi kuja. Nimeishindwa kumvumilia mpaka sasa ni miaka miwili na miezi kadhaa bado majibu ni yale yale.
Naombeni mnishauli labda nifanyaje?
Hakuna kitu atakitaka chenye nauwezo nacho nikashindwa kumtimizia.
Tatizo linakuja kwenye sex.......
Kwanini unafikiri una haki ya kupewa huo mchezo?Habari wana JF..
Mimi nina mpenzi wangu ambaye tayari alishazaa mtoto mmoja na mwanaume mwingine (nilimkuta tayari kasha zaa) .
Nikamtongoza akakubari, nikampenda sana naye alinijibu the same kuwa ananipenda pia. Lakini kila nilipotaka sex alikuwa akinipa muda, Mfano naweza mnikamuomba mwezi wa kwanza akanijibu nisubilie mpaka mwezi wa nne ktk likizo.
Vivyo hivyo inapofika mwezi wa nne atanambia mwezi wa 6. Ikawa kama ndio ratiba ya kunipa likizo. Nikimuuliza sababu ananiambia yuko mbali, nikimwambia nimtumie nauli ananiambia labda nimtumie hela ya kula tu na sio nauli sababu hawezi kuja. Nimeishindwa kumvumilia mpaka sasa ni miaka miwili na miezi kadhaa bado majibu ni yale yale.
Naombeni mnishauli labda nifanyaje?
Hakuna kitu atakitaka chenye nauwezo nacho nikashindwa kumtimizia.
Tatizo linakuja kwenye sex.......
hakupendiHabari wana JF..
Mimi nina mpenzi wangu ambaye tayari alishazaa mtoto mmoja na mwanaume mwingine (nilimkuta tayari kasha zaa) .
Nikamtongoza akakubari, nikampenda sana naye alinijibu the same kuwa ananipenda pia. Lakini kila nilipotaka sex alikuwa akinipa muda, Mfano naweza mnikamuomba mwezi wa kwanza akanijibu nisubilie mpaka mwezi wa nne ktk likizo.
Vivyo hivyo inapofika mwezi wa nne atanambia mwezi wa 6. Ikawa kama ndio ratiba ya kunipa likizo. Nikimuuliza sababu ananiambia yuko mbali, nikimwambia nimtumie nauli ananiambia labda nimtumie hela ya kula tu na sio nauli sababu hawezi kuja. Nimeishindwa kumvumilia mpaka sasa ni miaka miwili na miezi kadhaa bado majibu ni yale yale.
Naombeni mnishauli labda nifanyaje?
Hakuna kitu atakitaka chenye nauwezo nacho nikashindwa kumtimizia.
Tatizo linakuja kwenye sex.......
Mhhh....mpenzi wako huyo?Habari wana JF..
Mimi nina mpenzi wangu ambaye tayari alishazaa mtoto mmoja na mwanaume mwingine (nilimkuta tayari kasha zaa) .
Nikamtongoza akakubari, nikampenda sana naye alinijibu the same kuwa ananipenda pia. Lakini kila nilipotaka sex alikuwa akinipa muda, Mfano naweza mnikamuomba mwezi wa kwanza akanijibu nisubilie mpaka mwezi wa nne ktk likizo.
Vivyo hivyo inapofika mwezi wa nne atanambia mwezi wa 6. Ikawa kama ndio ratiba ya kunipa likizo. Nikimuuliza sababu ananiambia yuko mbali, nikimwambia nimtumie nauli ananiambia labda nimtumie hela ya kula tu na sio nauli sababu hawezi kuja. Nimeishindwa kumvumilia mpaka sasa ni miaka miwili na miezi kadhaa bado majibu ni yale yale.
Naombeni mnishauli labda nifanyaje?
Hakuna kitu atakitaka chenye nauwezo nacho nikashindwa kumtimizia.
Tatizo linakuja kwenye sex.......