ndugu wana jf nina mpenzi wangu nampenda sana, nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwaminifu kwake lakini tangu amegundua kuwa nampenda ananitesa sana, muda mwingi hapokei sim zangu, text sometimes hajibu, anadai yuko bize sana na majukum ya kujenga taifa,sina la kufanya jaman mnishauri ndugu zangu mana nampenda sana
ndugu wana jf nina mpenzi wangu nampenda sana, nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwaminifu kwake lakini tangu amegundua kuwa nampenda ananitesa sana, muda mwingi hapokei sim zangu, text sometimes hajibu, anadai yuko bize sana na majukum ya kujenga taifa,sina la kufanya jaman mnishauri ndugu zangu mana nampenda sana
Vitendo pia vinatosha kukupa ujumbe...
Pole sana kamanda ukiona hivyo jua kuna walakini tayari ,hata housegal anapata muda wa kuwasiliana na boyfriend wake acha kupenda kwa moyo tumia akili tu kamanda utateseka sana 'another chance 4 you to choose a young beautiful gal"
Pole mamito leave him alone
sasa anakutesa ama unajitesa mwenyewe??
mbona uchumba sio mahali pa kutesana?? kama hatak kupokea simu yako unajisumbua nini??
teswa na mume/mke nitakwambia vumilia ila mchumba?? tupa kulee anza maisha mengine