Ananitesa jamani

Ananitesa jamani

Fungua akili..utagundua hakuna penzi hapo.
 
Huyo ameshapata alichokitaka achananae atakupasua kichwa.😱
 
ndugu wana jf nina mpenzi wangu nampenda sana, nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwaminifu kwake lakini tangu amegundua kuwa nampenda ananitesa sana, muda mwingi hapokei sim zangu, text sometimes hajibu, anadai yuko bize sana na majukum ya kujenga taifa,sina la kufanya jaman mnishauri ndugu zangu mana nampenda sana


ni tabia mpya iliyojitokeza au alikuwa hivyo toka mwanzo?

anajenga taifa ? anafanya kazi gani?

ni muhimi kujibu hayo kabla ya kukushauri.
 
mapenzi ni lkuigana muige afanyavo.talaka ya hawara haiandikwi dear!!!!!!!!!
 
ndugu wana jf nina mpenzi wangu nampenda sana, nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuwa mwaminifu kwake lakini tangu amegundua kuwa nampenda ananitesa sana, muda mwingi hapokei sim zangu, text sometimes hajibu, anadai yuko bize sana na majukum ya kujenga taifa,sina la kufanya jaman mnishauri ndugu zangu mana nampenda sana


Huo ndio utaratobu mpya wa kiachana, siku hizi watu hawagombani wala kutukanana ni kimya kimya..
 
Pole sana kamanda ukiona hivyo jua kuna walakini tayari ,hata housegal anapata muda wa kuwasiliana na boyfriend wake acha kupenda kwa moyo tumia akili tu kamanda utateseka sana 'another chance 4 you to choose a young beautiful gal"

Mkuu aliyepost ni mdada
 
sasa anakutesa ama unajitesa mwenyewe??
mbona uchumba sio mahali pa kutesana?? kama hatak kupokea simu yako unajisumbua nini??

teswa na mume/mke nitakwambia vumilia ila mchumba?? tupa kulee anza maisha mengine



Inategemea mama....huyo anasema ni mpenzi wake..inawezekana akawa ni hawara....si unajua hawara anavyouma...mke/mume cha mtoto....
 
Back
Top Bottom