Ananipendea pesa

Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika
.

Ukiupata huo wimbo niwekee hapa puliiiz
 
Tena bila ata aibu anajisfu kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli mim napenda kuhonga ila not to extent ya kumaliziana mtaji,... Kwan unauza nn,
 
Kama hiyo anayopewa ni kidogo si angekuwa anakataa? Hiyo hiyo pesa ambayo unajifanya unaona ndogo ndiyo inayomfanya asiondoke. Hivi unadhani kupata danga la kuhonga mamilioni demu anaamua tu halafu analipata ee. Eti angefuata pesa angekuwa ameshaondoka, uliza wangapi wanataka kuhongwa mamilioni halafu "wanaamua" tu then wanaanza kuhongwa. Yale ya kwenye filamu ni maigizo wewe, acha kupotosha wenzio. Na kama unga umeshaanza kukupa ndoto za hivyo nenda rehab.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unafaa kua mchepuko,kuoa anaolewa mwingine ambaye tutafanya maendeleo,kwako nikuja kukulamba tu nakupa na pesa ambazo wewe unaona hazitoshi.

Utaniona nikikosana na mke wangu,au mke wangu akiwa kajifungua au nasafiri na sitaki kununua malaya nisiyemfahamu nakufuata wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…