Ananipenda ila ndio haeleweki

Ananipenda ila ndio haeleweki

Habari ndugu zangu.

Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand.

Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.
[/QUOTE just friand.
 
Rafiki wa kweli kabisa wa kike ni yule unayeweza lala naye kitanda kimoja na msifanye mapenzi. Lakini nina maswali mawili. 1. mkilala hapo kitandani kuna wakati huwa unapata hisia za mapenzi unasimamaisha? 2. Kwa kawaida wewe husimamisha, au ndio mtoto sio riziki?
 
Rafiki wa kweli kabisa wa kike ni yule unayeweza lala naye kitanda kimoja na msifanye mapenzi. Lakini nina maswali mawili. 1. mkilala hapo kitandani kuna wakati huwa unapata hisia za mapenzi unasimamaisha? 2. Kwa kawaida wewe husimamisha, au ndio mtoto sio riziki?
Hivi wanaogegedana huwa wanakuwa maadui?
 
huo ni uongo ulale kitanda kimoja na mwanamke bila kumgegeda utakuwa una matatizo.
 
Hivi we mtoa mada...dah...hivi una..ngoja tu nilale
 
habari ndugu zangu.

Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand.

Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.

ukisha lala nae si kuna kucha??? Kama ndivyo ww endelea kulala nae atakuja na mshkaji wake aliyefunguka sawa sawa atalala apo pembeni na kujilia mzigo taratibu. Ila we unatuzuga tu aseeee
 
duuuhhh kama kuandika tu huwezi
na ndo maana mnalala kitanda kimoja na huwezi fanya kitu
 
Back
Top Bottom