Ananipenda ila ndio haeleweki

Ananipenda ila ndio haeleweki

Mkude mjita

Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Habari ndugu zangu.

Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand.

Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.
 
We sio mkude mjita ni mkude simba!!! Kwani huwezi piga sound mpaka ubake??
 
tumechoshwa na habari za kutunga, haya lala nae tu na muendelee kuwa marafiki
 
We kama sio shogah basis unaelekea njia ya kutokea kwenye ushogah
 
Kijana inaonyesha kuwa ule waya unaounganisha kati ya ubongo na mdomo umekatika au umepata shoti...na ndio maana hata ukiandika hueleweki....wahi kwa fundi radio aliyekaribu nawe akauchomelee huo waya ili urudi katika hali ya kawaida na uwe unaandika vitu vinavyoeleweka..........
 
Hahahahaaaa.. Huo waya unaitwaje Mkuu KikulachoChako.
Kijana inaonyesha kuwa ule waya unaounganisha kati ya ubongo na mdomo umekatika au umepata shoti...na ndio maana hata ukiandika hueleweki....wahi kwa fundi radio aliyekaribu nawe akauchomelee huo waya ili urudi katika hali ya kawaida na uwe unaandika vitu vinavyoeleweka..........
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndo hueleweki! Atoke kwao kuja kulala kwako na usimguse af udai yeye ndo haeleweki!!?
 
Habari ndugu zangu.

Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand.

Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.

hii mitoto ya sikuhizi sijui ikoje,,, haya ndio madhara ya kula kuku na mayai yanayorutubishwa kwa mwanga bila mbegu ya jogoo
 
Habari ndugu zangu.

Mimi kuna msichana tuko naye karibu mpaka inafika hatua ya mi kulala nae kitanda kimoja bila ya kufanya mapenzi anabaki kama just friand.

Sasa naomba ushauri huyu demu ananipenda au nimuache bila kumuambia au nibaki naye kama rafiki naomba ushauri wenu ndugu zangu.

Wewe unaonaje?
 
Bora matokeo ya form four yatokeee tuu watoto waende shule
 
Kawambwa si atangaze ayo matokeo naee
 
Amekwambia anakupenda au unajipigia debe????
 
Back
Top Bottom