Usituchoshe. Chagua moja.
Kosa ni hilo tu???una muda gani tangu muachane??
kaka unajua wanawake ni kama vipepeo kila ua zuri wanataka kulifuata sasa huyo kapigika huko alipoenda sa anataka kurudi kwako we kula mgegedo then mbwage au nipasie hilo pande
achana naye huyo kwa hiyo alikufanya wewe spare sasa hivi ndiyo anaona umuhimu wako achana nae
Toka mwezi wa pili mwaka huu.
i miss you...........,where had you been?
Ushauri mfupi tuu fuata moyo wako unavyokuambia
Unaijuwa kazi ya moyo ni nini lakini?