Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce
thanx in advanvce