Ananinyanyasa kifikra,naombeni ushauri wenu plz

Mndengereko

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
7,280
3,345
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce
 
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce
Hapo kwenye red,kama moyo wako unataka maana yake umekwishaamua kuachana nae hivyo achana nae tu na huna haja ya ushauri na imekuwa vema zaidi kwako maana yupo mbali nawe hivyo suala la kumsahau linakuwa rahisi zaidi kuliko ambavyo angekuwa hapa.
Siku nyingine ukipenda kuwa na msimamo utakuja fanya mume ***** siku moja.
 
Hii yako Nayo Shughuli!!! Ngoja kwanza nimalizie lireport la huyu SUPER HANDSOME BOSS KISIRANI manake KESHANITIBUA ASUBUHI YOTE HII! (Ndo maana watu wanaloga kuwapumbaza maboss! Nyamafu!!!!) Nitarudi nikipoa!!!!
 
Dogo, Usiwe mjinga..hapo huna chako. Wasichana mazuri na wanathamini mapenzi ya kweli wako wengi tuu. Achana na huo mzoga songa mbele na maisha yako. Utajuta saana ukibaki hapo..
 
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce

Alishakuambia ni rafiki yake, kwani vibaya kumuaga rafiki ww vipi ebu punguza jazba na hasira, ungemkuta anamegwa si ungejinyonga.Kaa na mwenza wako muulize kwa utaratibu atakumbia ukweli...utakosa mke.
 
kimbia fasta, hakuna mapenzi hapo tena vinginevyo utaendelea kuumia tu.
 
Wewe ulianza naye uhusiano lini, namaanisha muda gani tangua aachane na huyo anayekuambia ex wake?. Unatakiwa kufahamu kwamba wanawake huwa wanapenda kweli hivyo uhusiano kuvunjika huwa inachukua muda hasa km yy ndo alimwambia mwanaume tuachane (huyo aliyeambiwa tuachane akirudi kuomba radhi anaweza kusamehewa km bibie anampenda/alimpenda kwa dhati)

Kwa mtizamo wangu ww ulikuwa mfariji katika kipindi cha mpito ila bibie bado anampenda ex wake, ulichotakiwa kufanya mwanzo ni kumshawishi asitishe mawasiliano na kujituma ili kuweza kuziba pengo aliloliacha huyo ex wake,kwa kuwa watu wakiacha bao kunakuwa na kumbukumbu ya mazuri waliyoshirikiana ww ungeatakiwa kufanya mazuri zaidi.
Nakushauri mpotezee kwa muda na akikutafuta mwambie anavyokukwaza, iwapo hatakutafuta basi ndo umebaki na manyoya.
 
hakuna kitu kibaya kama kiumizacho mwili na roho,tupa huko huyo mchafu kama alikuwa na shida ya kuongea naye kwanini aliachana nae ukizidi kuendelea naye ipo siku utakasirika mpaka utamdhuru kifuatacho jelaaaaaaaaaaaaa.
 
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kbs huyu k****
thanx in advanvce

Huyu k****???? Ulimanisha nin hapo kwenye nyota?
 
habari za asubuhi wan jf,nilkuwa nampenzi wangu but so bad allikuwa na mwanaume mwingiine nikawa najua but akaniambia ni ex nw washaachana ila wanaendelea tu kuwasiliana kawaida but nothing is between them,nilimkanya aachane nae kbs hata mazungumzo hakusikia kwa kuwa nilikuwa nampenda nikawa siwezi kufanya uamuzi wowote na ukkaribu tuliokuwa nao,juzi amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma akaniambia nimpitie mlimani city kwenda kumchukua then nimpeleke airport so bad kumbe kaenda kumuagga aliyokuwa mume mwenza nikatamani nimfuate nimchenjie yule mwanaume mwenzangu nikakumbukaa quote kwamba "mjanja hagombani kwa sababu ya demu" kama kaamua kufanya umalay basi nothing can stop her though nae ananipenda na hataki tuachane,basi nikapuuzia niakampeleka airport nikamtukana matusi kwa hasira achillia mabali hug hata mkono sikumpa kwa hasira nikasepa zangu from my heart nataka kuachana nae kabisa yaani simtaki kabisa katika mawzao yangu kama alishindwa kuwa mwaminifu dar itakuwa nje,sory kwa kuandika maeneo mengi but ni kwa ajili ya uchungu nw kila nikikaa nawaza siku niliyomuona na mume mwenza na nauimia sana tena sana plz nishaurini niini nifanye niweze kumsahau kbs huyu k****
thanx in advanvce

babu apo tayari alimpelekea mchizi akaiage ,,na apo yawezekana alikuita makusudi ili ushuudie,,katoka kuagwa na mchizi.
 
Dogo, Usiwe mjinga..hapo huna chako. Wasichana mazuri na wanathamini mapenzi ya kweli wako wengi tuu. Achana na huo mzoga songa mbele na maisha yako. Utajuta saana ukibaki hapo..
ana hamu ya kuchunwa...toka mlimani city to airport tax sh ngapi? hapo hajatoa pocket money
mwenzake kala kilaini kaendelea zake na shughuli za ofisi.ukute alisema airport anaita tax huyo mdada
 
Pole sana mwaya,usijali utamsahau anza na kufuta sms zake na jaribu kua busy na shughuli zako na ondoa mawasiliano na yeye na mueleze kua mpaka hapo alipokufikisha kukufanya wewe driver wake umeshatosheka,na uliambiwa wapo hukuambiwa yupo..........
 
Mkuu, kuwa makini hapo maana kuna mawili :-
  • Labda ni kweli ni rafiki yake, sema tu wewe ndio hujiamini tu. Maana inawezekana wakawa na urafiki mzuri na wasiwe wapenzi tena kama zamani. Labda niulize, huyo mwanaume naye ana mtu? je, anakuchangamkia kama shemeji akikuona au hampatani? Kuwa makini usije ukawa unamuhukumu mtoto wa watu buree.
  • Au la pili ni kuwa, anaweza akawa anakucheat kweli, kama huyo jamaa hana mtu wanaweza wakawa wana mambo yao. Na kama imefikia unamuita Girl wako "malaya" basi kuna kitu cha ziada unachokijua thats why umejiamini ukamuita hivyo

Just, kuwa makini kwenye uamuzi, fuata moyo wako unasema nini ukiwa na ushahidi na sio kumuhukumu kwa kuhisi.
 
ana hamu ya kuchunwa...toka mlimani city to airport tax sh ngapi? hapo hajatoa pocket money
mwenzake kala kilaini kaendelea zake na shughuli za ofisi.ukute alisema airport anaita tax huyo mdada
Hahahahaa, unaonekana na wewe ni mkali kwenye hayo mambo ehh? LOL!
A%20S%20embarassed.gif
 
ana hamu ya kuchunwa...toka mlimani city to airport tax sh ngapi? hapo hajatoa pocket money
mwenzake kala kilaini kaendelea zake na shughuli za ofisi.ukute alisema airport anaita tax huyo mdada

Tatizo la hawa Warugaruga ni kujifanya mashujaa kunaaponza. Wanaingia mjini kwa pupa lazima wachunwe sana. Chezea weye!
 
Mndengereko, wewe ni taxi dereva bana.
Halafu jamaa aliambiwa, 'dont worry honey, nimeita tax, will miss you mwaaah baby. Take care ok...?'.
Mndekereko bana, kusoma hujui hata kuangalia picha?
 
Back
Top Bottom