habari wana jf ,jamani kuna issue imemtokea my friend ila kaniomba ushauri afanyaje nikaamua kuleta jamvini kabla cjampa ushauri.Ni hivi huyo rafiki yangu ana BF ambae walianza uhusiano ka miezi mitatu iliyopita lengo la mwanaume wasisex mpk aje kujitambulisha nyumbani lakini mwanzoni kaka alikubali ila kadri cku zinavyoenda kaka anamlazimisha wafanye deepkic then amu suck, kila wakikutana kaka anamkic ,na kumlazimisha amsuck...... ila dada akakataa coz anaenda kinyume na makubaliano.ss ii juzi anamlazimisha wa sex ndo alikua anaomba ushauri afanyaje?
nikifikaga kwenye comment zako huwa natulia kidogo jaman una vituko sana...utakuwa dada km sio wife wa bujibuji(joke)
Hivi kumbe huwa inapotea eeh!!!!
Kwahiyo koni yake ameshakula?
Bora amalizie tu!!huyo bibie inaelekea anaogopa jamaa asije akala then akasepa either iwe keshajitambulisha kwa wazee or no.
Cha msingi asitoe kitumbua tu, asubiri ndoa hapo ndipo tulipohalalishiwa.
Hakuna haja ya kufanya haraka wkt hayo mambo yatakuja yenyewe.
Siku hizi almost w'ume wote wababaishaji, anaweza akajitambulisha akavisha na pete jamaa akala kitumbua then akamkimbia asimuone teeennnnaa na pete akamuachia.