Ananikata moto hajui tu

Hahahahahaha wee chizi kweli
et ndio maana nilimuacha siku hiyohiyo
Danganya toto hiyo


Kikubwa nikwamba, Wanawake mnaroho yenu yakipekee tu yenye huruma basi.

Ndio maana utajua kabisa mchizi fulan ni muhuni balaa, lkn bado mtoto wa kike utapelekea Upigwe risasi



Haya mengine njoo PM tuyajengee mwayaa, kama upo singida, nipokee leo nakuja huko
 
Dooh kuna kuliwa mtu kimasihara hapa
 

wewe kweli experience bado huna

Ooh mbona kama unakaribia karibia mwanza
Karibu mwanza tule masato kwa kujimwaga
 
Yaani kabisa unalilia blue tick?

Sikiliza young man, kama upo serious na huyo binti achana na mambo ya kuchat chat, hizo ni mambo za wanaume hawapo serious...

Mwanamke atakujua kama utaruhusu uwe sehemu ya maisha yake, wakutana naye time to time (not always)...

Na kukutana kwenu inabidi kuwa na special moments, sio mnakutana kwenda kusagula mitumba...

Lastly, hakuna mahusiano yanaendelea kama mmoja wenu haoni faida. Kuna uwezekano bi mkubwa ashaanza ona harufu ya hasara kati yenu. When it comes to this moment, we kiroho safi piga chini huo ukaribu wenu
 
Hakuna haja ya kukuza, hupendwi tu
 
Uyo manzi achana nae brother!!! Ukishaona izo style ujue kuna mwenzio anakaba ile mbaya.... Chakufanya futa namba yake warembo wapo wengi mkuu" hakuna haja ujitese cuz kitakacho tokea atakubamiza anaweza akakupiga mizinga mikubwa alafu uzalilike cuz i know hutothibitisha muamala!!!! Sasa kabla ya hayo yote kukujia achana nae
 
Wanawake wengine ni asexual. Nao unawahusisha au?
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…