Ananikata moto hajui tu

asipojiongeza after this. ana tatizo
 
Wa Ivo ujue anataka hela azuge ameweka bundle ndio akujibu.
Wanawake wa Ivo ni wanaojiuza kistadi.
 
Carlos The Jackal
 
Kwa uzoefu wangu maranyingi ukimuomba msichana namba akakupatia halafu baadae unamtumia text anaishia kutizama tu hajibu hapo jua kabisa kuna vitu kadhaa vinamuongoza kufanya maamuzi hayo.

1. Hajapendezwa na muonekano wako. Wasichana wengi hasa hawa wa vyuoni hasa mwaka wa pili au wa tatu hawa wameshazoea kudanga na watu wenye hadhi fulani sasa ukienda wewe na ndala zako unalazimisha namba atakupatia lakini mwisho wake utakua ndo huo.

2. Huenda ndo kwaanza yupo kwenye penzi motomoto. Mara nyingi katika hatua hii msichana hua hana muda na hawa wanaoimba namba barabarani kwa sababu moja kwa moja hisia zake zitampeleka kwamba huyu anataka kunitongoza hivyo hatokupa ushirikiano ili kuepuka usumbufu na kupelekea kuleta shida kwa mpenzi wake.

CHA KUFANYA
Wewe endelea ku view status zake akiweka picha nzuri msifie akijibu muitikie huku ukichunguza reaction yake kama je! Ninaweza kuendelea na mazungumzo au hapana.

Akijirekodi kavideo chenye nyimbo nyuma yake reply mwambie nimeipenda hio nyimbo naomba nitumie. Akikutumia mwambie napenda sana nyimbo zenye mahadhi haya kama unazo baadhi tafadhari pia naziomba basi unatafuta na story ya kuungia taratibu.

Ila ningekua mimi kwa ninavyojijua ningesha Mmute mapema sana...
 
Yeye alikupa namba kwa ajili ya Mpesa sasa anashangaa maneno mengii badala akute sms za "Imethibitishwa umepokea... mkuu unakwama wapi acha kulia lia😀😀
 
mastaa.... 🤵‍♂️
 
baharia lazima ujifunze ku fits in,yani ubadilike kutokana na mazingira,hakujib kwa sababu text zako zinamuudhi au hana cha kujadil na wewe,chagua moja, ucheze beat yake au uweke beat atakayocheza yeye
 
Wacha wee kumbe?
 

KWA KIFUPI TU-

MIMI ND'O MME WA HUYO MWALIMU,
NIMESHANUNUA LITA KADHAA ZA MAFUTA YA ALIZETI KWA AJILI YAKO BWA' MDOGO.

JIANDAE KUPAKWA WESE!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…