shining star
Member
- Oct 22, 2010
- 28
- 56
i wish i was still young.
Yaani kuitwa tu mama lily ndo mihemko, na keshakuambia hawezi kuwa na distance relationshipi!:wacko::wacko:
Eeeh mwenzako nikiitwa tu "my wife" nasisimka na kutetemeka hahahahaha, we are still young lol
K what is keeping him from being with me?
Eeeh mwenzako nikiitwa tu "my wife" nasisimka na kutetemeka hahahahaha, we are still young lol
mama lily mwenyew yuko wapi labda
i wish i was still young.
Yaani kuitwa tu mama lily ndo mihemko, na keshakuambia hawezi kuwa na distance relationshipi!:wacko::wacko:
una umri gani mdogo wangu?
Mama lily yupo ila anadai hawezi kuoa kwa sababu flan ambazo alinipa. Kumlea lily sio tatizo kwangu kabsaa...
Issue sio kuitwa mama lily tu ila msgs like 'me n liky love u mom, we miss u mom na i love you kibao! Na mambo yanaishia hapo! Sielewi yaani
Eeeh mwenzako nikiitwa tu "my wife" nasisimka na kutetemeka hahahahaha, we are still young lol
Forever young hahahahaha
25 years
my dear najua umri huo kwa msichana ndo huwa tunahaha kuwa na watu wakujenga nao future, ila usipokuwa makini future hutakaa uione zaidi ya kuchezewa tu, huyo wala hana mapenzi na wewe mpendwa, yani ukishasikia mwanaume anakwambia nakupenda lakini siwezi kuwa na wewe sababu ya hivi na vile, juwa hapo mapenzi hakuna na usilazimishe itakula kwako, sana sana hapo nnachokiona mwenzio anacheza tu na akili yako ila mwisho wa yote utakuja kusikia kaolewa mamal lily original