Anamkuwadia wifi yake kwa wanaume wengine

Anamkuwadia wifi yake kwa wanaume wengine

dickdickinyo

Senior Member
Joined
May 19, 2015
Posts
118
Reaction score
53
Rafiki yangu ananilalamikia kuwa dada yake mkubwa anamtafutia mkewe wanaume.Amemkanya lakini anaendelea.Jamaa hajui afanye maamuzi gani maana kiumri dada yake amemzidi sana.Hata kumchapa makofi hawezi.
 
Hawezi kumuita na kumkanya tabia yake?! After all heshima kajivunjia mwenyewe kwa kumkuwadia mke wa kaka yake,adabu hana hata kama ana mvi!
 
Huyo rafiki yako yumo humu jf?? Mbona mnaleta mambo ya ajabu jamani? Kakuomba ushauri unakuja kwetu?? Haya mwambiye, kumkomesha na yeye amtafutie wanawake shemejiye
 
Mwanamke hana ukubwa hata angekuwa na mwili nyumba vipi, au akawa na umri kama wa mgabe anapewa chai kama kawaida
 
Wanawake walio wengi wanasiri mingi mno, Anakuja rafiki ya mke wako kabisa unaye muheshimu kabisa na unamjua hadi mume wake ila ndo anakuja kwa gia ya kumuombea wife ruhusa amsindikize mahali kuna kidume kumepakiwa mahali...Jioni wanarudi wote tena hm...Unakuta mwanaume anacheka cheka tu hajui kitu
 
kama makofi hawezi .. aanze kurusha ngumi mzipige kiume yaniii
 
Akiendelea kunyamaza ataletewa had hapo nyumban aambiwe n uncle wake mke wake
 
Anamkuwadia kwa 'WANAUME'?? That means ni zoezi lililokomaa eeh? Basi mwambie awafungulie danguro uyo dada'ake & mkewe ili wauze kabisa hizo nyapu zao waongeze uchumi maana hamna namna nyingne tena hapo
 
Hawezi kumuita na kumkanya tabia yake?! After all heshima kajivunjia mwenyewe kwa kumkuwadia mke wa kaka yake,adabu hana hata kama ana mvi!
Mimi mwenyewe ndiyo nimeshangaa na roho yangu eti kiumri ni mkubwa hahahaha
 
Rafiki yangu ananilalamikia kuwa dada yake mkubwa anamtafutia mkewe wanaume.Amemkanya lakini anaendelea.Jamaa hajui afanye maamuzi gani maana kiumri dada yake amemzidi sana.Hata kumchapa makofi hawezi.

Huenda uyo jamaa yako na mke wake na uyo dada mtu wanaishi nyumba moja tena ya urithi ya familia. Mwambie ahame
 
Rafiki yangu ananilalamikia kuwa dada yake mkubwa anamtafutia mkewe wanaume.Amemkanya lakini anaendelea.Jamaa hajui afanye maamuzi gani maana kiumri dada yake amemzidi sana.Hata kumchapa makofi hawezi.

Mara nyingi hili hutokea kama mkeo anawajua mabwana wa dadako. Au wako pamoja sana kiasi kwamba jamaa za jamaa wanaomgonga dadako wameomba kross.

Hakikisha hawapo karibu na mpe za mbavu dadako.
 
Wanawake walio wengi wanasiri mingi mno, Anakuja rafiki ya mke wako kabisa unaye muheshimu kabisa na unamjua hadi mume wake ila ndo anakuja kwa gia ya kumuombea wife ruhusa amsindikize mahali kuna kidume kumepakiwa mahali...Jioni wanarudi wote tena hm...Unakuta mwanaume anacheka cheka tu hajui kitu

yaani ukiona mkeo na mawifi zake wana urafiki tia shaka siku zote dada hawana urafiki na wifi zao
mie nimeshuhudia mtu anakuja kuniambia bwana eeh kuna mzigo nimekuja nao sasa mwenzake sina pa kumpaki unaweza kuegesha naye? nikashtuka katika kuhoji kwa nini asirudi kwake akasema ni wifi yake so lazima kesho warudi pamoja
baada ya kukataa ikabidi wakapange gesti double
siku ya pili nikataka kujua nini klijiri ndo ananiambia tulichukua double tukalala wote
duuuuuuuuu nikashangaa sana
 
Back
Top Bottom