Analysis: Sababu 10 kwanini Lowassa kuhamia CHADEMA sio tishio

Analysis: Sababu 10 kwanini Lowassa kuhamia CHADEMA sio tishio

hongoli

Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
18
Reaction score
15
¤Wapo wanaoamini kwamba Lowassa akihamia CHADEMA basi ataleta mafuriko zaidi ya yale ya mwaka 1995 pale Augustine Mrema alipohamia NCCR Mageuzi.

¤Nitatoa sababu 10 kwa nini bado naona kuhamia CHADEMA kwa Lowassa bado kutakuwa na athari ndogo za kisiasa kwa CCM.

1. Makamanda wengi wa Lowassa aliokuwa nao CCM wamemuangusha na kumsaliti Lowassa. Wengi wameomba ubunge kwa kupitia CCM na wengi wameishampongeza John Magufuli. Hapa nazungumzia Sophia Simba, Hussein Bashe, Mzee Mgeja na wengineo. Hawa wengi wanaamini mamba ana nguvu akiwa ndani ya maji na sio nje ya hapo. Kambi ya Lowassa wengi wangeendelea kuwa naye kama mgombea urais wa CCM angekuwa Bernard Membe.

2. Umaarufu wa Mrema ulikuwa ni wa kuwatetea wananchi kwa mfano kashfa ya V.G. Chavda ambaye alikula hela za serikali badala ya kuendeleza mashamba ya mkonge Tanga. Umaarufu wa Lowassa ni wa kununua kwa kufanya harambee na kununua makundi ya watu kumuunga mkono. Simulizi za "Maamuzi Magumu" ni za kuungaunga sana.

3. Lowassa akigombea urais kwa kupitia CHADEMA itaoneka kwamba kweli CHADEMA ni chama cha Kaskazini maana yeye na mwenyekiti wa chama wote ni wa ukanda huo. Mmoja Arusha mwingine Kilimanjaro.

4. Lowassa akigombea urais kupitia CHADEMA itasambaratisha UKAWA maana ukiachia James Mbatia ambaye ni rahisi kukubali mahitaji yoyote ya CHADEMA kwa vile tu anataka kupata msaada wa kugombea ubunge wa Vunjo, mtu kama Prof Lipumba sio rahisi kukubali Lowassa awe mgombea urais. Prof Lipumba alikuwa tayari Dr Slaa awe mgombea wa UKAWA. Lakini Dr Slaa tayari ameonyesha nia ya kurudia ubunge wake wa Karatu ili kumpisha Lowassa.

5. Mwaka 1995 mgombea wa CCM, Benjamin Mkapa alikuwa hajulikani sana kwa wananchi. Mwaka huu 2015 mgombea wa CCM, John Magufuli, kutokana hasa na uwaziri wake wa ujenzi (unaohusika na ujenzi wa barabara) anajulikana zaidi kwa wananchi ukifananisha na Mkapa wa mwaka 1995.

6. Katika chaguzi zote tokea mfumo wa vyama vingi uliporudishwa mwaka 1992 hakuna chama cha upinzani kilichopata hata nusu ya kura za urais wa CCM. Kwa mfano mwaka 1995 Mkapa (CCM) alipata 61.82% na Mrema (NCCR-Mageuzi) alipata 27.77%. Mwaka 2010, Kikwete (CCM) alipata 61.17% na Dr Slaa (CHADEMA) alipata 26.34%. Hii ni miaka miwili ambayo CCM ilifanya vibaya zaidi katika chaguzi zote. Miaka mingine ilikuwa ni majanga zaidi kwa upinzani.

7. CHADEMA wataonekana kulamba matapishi yao maana mpaka leo hawajawahi kukana hata sehemu moja ya "List of Shame" iliyotolewa katika uwanja wa Mwembeyanga Jumamosi ya tarehe 15-Sep-2007 (kabla hata ya Richmond) ambayo ilimgusa pia Lowassa.

8. CCM itatumia nguvu kubwa ya kiuchumi. Ikumbukwe kila mwezi CCM inapata tsh 800M kama ruzuku, CHADEMA hupata robo yake tsh 200M. Pia wafanyabiashara wengi huchangia CCM kipindi hiki cha uchaguzi ili wasishughulikiwe na vyombo vya kiutawala kwa mfano TRA.

9. Watanzania wengi bado wana kale kamsemo ka "mbunge nitamchagua wa upinzani ila rais nitamchagua wa CCM". Hii inatokana na watu wengi kutoamini upinzani kushinda urais kutokana na mikoa mingi kama Tanga, Dodoma, Mtwara, Ruvuma, Pwani na mingineo mingi kutopata "ukombozi". Upinzani upo zaidi kwenye miji ya mikoa maarufu na kusahau maeneo ya vijijini hususan baada ya kufa kwa "Operation Sangara". Pia washabiki wengi wa upinzani ni vijana wa mijini ambao sio wapiga kura wazuri ukifananisha na CCM ambayo bado inategemea sana akina mama wa vijijini.

10. CCM itatumia manufaa (advantage) yake ya kuwa chama tawala, kwa kutumia mfumo wa usalama wa Taifa (intelligence) wa nchi kufuatilia taarifa za Lowassa na kuzifanyia kazi.
 
Safari hii ccm inatoka madarakani kwani inatimiza msemo wa baba wa Taifa kua upinzani wa kweli utsyoka ccm na Lowassa wa ccm akienda upinzani .ccm will rest in peace
 
¤Wapo wanaoamini kwamba Lowassa akihamia CHADEMA basi italeta mafuriko zaidi ya yale ya mwaka 1995 pale Augustine Mrema alipohamia NCCR Mageuzi.

¤Nitatoa sababu 10 kwa nini bado naona kuhamia CHADEMA kwa Lowassa bado kutakuwa na athari ndogo za kisiasa kwa CCM.

1. Makamanda wengi wa Lowassa aliokuwa nao CCM wamemuangusha na kumsaliti Lowassa. Wengi wameomba ubunge kwa kupitia CCM na wengi wameishampongeza John Magufuli. Hapa nazungumzia Sophia Simba, Hussein Bashe, Mzee Mgeja na wengineo. Hawa wengi wanaamini mamba ana nguvu akiwa ndani ya maji na sio nje ya hapo. Kambi ya Lowassa wengi wangeendelea kuwa naye kama mgombea urais wa CCM angekuwa Bernard Membe.

2. Umaarufu wa Mrema ulikuwa ni wa kuwatetea wananchi kwa mfano kashfa ya V.G. Chavda ambaye alikula hela za serikali badala ya kuendeleza mashamba la mkonge Tanga. Umaarufu wa Lowassa ni wa kununua kwa kufanya harambee, kununua makundi ya watu kumuunga mkono. Simulizi za "Maamuzi Magumu" ni za kuungaunga sana.

3. Lowassa akigombea urais kwa kupitia CHADEMA itaoneka kwamba kweli CHADEMA ni chama cha Kaskazini maana yeye na mwenyekiti wa chama wote ni wa ukanda huo. Mmoja Arusha mwingine Kilimanjaro.

4. Lowassa akigombea urais kupitia CHADEMA itasambaratisha UKAWA maana ukiachia James Mbatia ambaye ni rahisi kukubali mahitaji yoyote ya CHADEMA kwa vile tu anataka kupata msaada wa kugombea ubunge wa Vunjo, mtu kama Prof Lipumba sio rahisi kukubali Lowassa awe mgombea urais. Prof Lipumba alikuwa tayari Dr Slaa awe mgombea wa UKAWA. Lakini Dr Slaa tayari ameonyesha nia ya kurudia ubunge wake wa Karatu ili kumpisha Lowassa.

5. Mwaka 1995 mgombea wa CCM, Benjamin Mkapa alikuwa hajulikani sana kwa wananchi. Mwaka huu 2015 mgombea wa CCM, John Magufuli, kutokana hasa na uwaziri wake wa ujenzi anajulikana zaidi kwa wananchi ukifananisha na Mkapa wa mwaka 2005.

6. Katika chaguzi zote tokea uchaguzi wa vyama vingi uliporudishwa mwaka 1995 hakuna chama cha upinzani kilichopata hata nusu ya kura za urais wa CCM. Kwa mfano mwaka 1995 Mkapa (CCM) alipata 61.82% na Mrema (NCCR) alipata 27.77%. Mwaka 2010 Kikwete (CCM) alipata 61.17% na Dr Slaa (CHADEMA) alipata 26.34%. Hii ni miaka miwili ambayo CCM ilifanya vibaya zaidi. Miaka mingine ilikuwa ni majanga zaidi kwa upinzani.

7. CHADEMA wataonekana kulamba matapishi yao maana mpaka leo hawajawahi kukana hata sehemu moja ya "List of Shame" iliyotolewa na uwanja wa Mwembeyanga Jumamosi ya tarehe 15-Sep-2007 (kabla hata ya Richmond) ambayo ilimgusa pia Lowassa.

8. CCM itatumia nguvu kubwa ya kiuchumi. Ikumbukwe kila mwezi CCM inapata tsh 800M kama ruzuku, CHADEMA hupata robo yake tsh 200M.

9. Watanzania wengi bado wana kale kamsemo ka "mbunge nitamchagua wa upinzani ila rais nitamchagua wa CCM". Hii inatokana na watu wengi kutoamini upinzani kushinda urais kutokana na mikoa mingi kama Tanga, Dodoma, Mtwara, Ruvuma, Pwani na mingineo mingi kutopata "ukombozi". Upinzani upo zaidi kwenye miji ya mikoa maarufu na kusahau maeneo ya vijijini hususan baada ya kufa kwa "Operation Sangara". Pia washabiki wengi wa upinzani ni vijana wa mijini ambao sio wapiga kura wazuri ukifananisha na CCM ambayo bado inategemea sana akina mama wa vijijini.

10. CCM itatumia manufaa (advantage) yake ya kuwa chama tawala, kwa mfumo wa usalama wa Taifa (intelligence) wa nchi kufuatilia taarifa za Lowassa na kuzifanyia kazi.

Mkuu mbali na kuandika kitabu, EL hawezi kuijiunga na CDM. Hayo mengine ni porojo tu kwani wengine hizi ndo ofisi zao.
 
Akijiunga Chadema ndo mwisho hawata kuwa na sera, lowasa alitaka mgombea binafsi ambapo haimo kwenye katiba.
 
1995 ni tofauti na sasa mwaka ni 2015. hizo sababu ziko OUTDATED
 
1995 ni tofauti na sasa mwaka ni 2015. hizo sababu ziko OUTDATED

Bora umemwambia huyo jamaa. Nadhani mleta uzi atakuwa ni mzee kwa hiyo hapa kashusha uchambuzi uliochanganyika na propaganda za kizee. Ni hivi EL cdm haingii na ccm itabidi wategemee goli la mkono.
 
Lowassa hawezi kujiunga chadema ccm ni Chaka la maovu na kuna vitu vingi vya kufaidi! Na akijiunga chadema chama kitajishushia hadhi
 
Ngoja tuone ngonjera zenu ccm na cdm mlivyo mapoyo kuwafanya wtz kama matembele yenu
 
¤Wapo wanaoamini kwamba Lowassa akihamia CHADEMA basi italeta mafuriko zaidi ya yale ya mwaka 1995 pale Augustine Mrema alipohamia NCCR Mageuzi.
Mkuu hongoli, uzi huu ni muendelezo tuu wa kuweweseka kuhusiana na 'jamaa yangu huyu!', mimi naweza kujiita ni miongoni mwa washabiki wake number one humu jf, lakini baada ya kupitishwa jina la JPM, nilimshauri, ushauri huu,
[h=3]Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Yaishe, Vunja Kambi, na Kujisalimisha Rasmi!.
[/h]na amekubali kuufuata, hivyo wale wonye wenye ndoto eti kuna siku Lowassa atahama CCM, endeleeni kuota huku mkusubiri!, ... mtasubiri mpaka...!.

Pasco
 
Hadi sasa wafuasi wake wengi wameshahamia CDM na wengine ambao hawajahamia wameahidi kumpigia kura mgombea wa UKAWA. Hofu yangu ni goli la mkono tu! Kama si hilo tungetangaza ushindi kabla ya ligi kumalizika.
 
¤Wapo wanaoamini kwamba Lowassa akihamia CHADEMA basi italeta mafuriko zaidi ya yale ya mwaka 1995 pale Augustine Mrema alipohamia NCCR Mageuzi.

¤Nitatoa sababu 10 kwa nini bado naona kuhamia CHADEMA kwa Lowassa bado kutakuwa na athari ndogo za kisiasa kwa CCM.

1. Makamanda wengi wa Lowassa aliokuwa nao CCM wamemuangusha na kumsaliti Lowassa. Wengi wameomba ubunge kwa kupitia CCM na wengi wameishampongeza John Magufuli. Hapa nazungumzia Sophia Simba, Hussein Bashe, Mzee Mgeja na wengineo. Hawa wengi wanaamini mamba ana nguvu akiwa ndani ya maji na sio nje ya hapo. Kambi ya Lowassa wengi wangeendelea kuwa naye kama mgombea urais wa CCM angekuwa Bernard Membe.

2. Umaarufu wa Mrema ulikuwa ni wa kuwatetea wananchi kwa mfano kashfa ya V.G. Chavda ambaye alikula hela za serikali badala ya kuendeleza mashamba la mkonge Tanga. Umaarufu wa Lowassa ni wa kununua kwa kufanya harambee, kununua makundi ya watu kumuunga mkono. Simulizi za "Maamuzi Magumu" ni za kuungaunga sana.

3. Lowassa akigombea urais kwa kupitia CHADEMA itaoneka kwamba kweli CHADEMA ni chama cha Kaskazini maana yeye na mwenyekiti wa chama wote ni wa ukanda huo. Mmoja Arusha mwingine Kilimanjaro.

4. Lowassa akigombea urais kupitia CHADEMA itasambaratisha UKAWA maana ukiachia James Mbatia ambaye ni rahisi kukubali mahitaji yoyote ya CHADEMA kwa vile tu anataka kupata msaada wa kugombea ubunge wa Vunjo, mtu kama Prof Lipumba sio rahisi kukubali Lowassa awe mgombea urais. Prof Lipumba alikuwa tayari Dr Slaa awe mgombea wa UKAWA. Lakini Dr Slaa tayari ameonyesha nia ya kurudia ubunge wake wa Karatu ili kumpisha Lowassa.

5. Mwaka 1995 mgombea wa CCM, Benjamin Mkapa alikuwa hajulikani sana kwa wananchi. Mwaka huu 2015 mgombea wa CCM, John Magufuli, kutokana hasa na uwaziri wake wa ujenzi anajulikana zaidi kwa wananchi ukifananisha na Mkapa wa mwaka 2005.

6. Katika chaguzi zote tokea uchaguzi wa vyama vingi uliporudishwa mwaka 1995 hakuna chama cha upinzani kilichopata hata nusu ya kura za urais wa CCM. Kwa mfano mwaka 1995 Mkapa (CCM) alipata 61.82% na Mrema (NCCR) alipata 27.77%. Mwaka 2010 Kikwete (CCM) alipata 61.17% na Dr Slaa (CHADEMA) alipata 26.34%. Hii ni miaka miwili ambayo CCM ilifanya vibaya zaidi. Miaka mingine ilikuwa ni majanga zaidi kwa upinzani.

7. CHADEMA wataonekana kulamba matapishi yao maana mpaka leo hawajawahi kukana hata sehemu moja ya "List of Shame" iliyotolewa na uwanja wa Mwembeyanga Jumamosi ya tarehe 15-Sep-2007 (kabla hata ya Richmond) ambayo ilimgusa pia Lowassa.

8. CCM itatumia nguvu kubwa ya kiuchumi. Ikumbukwe kila mwezi CCM inapata tsh 800M kama ruzuku, CHADEMA hupata robo yake tsh 200M.

9. Watanzania wengi bado wana kale kamsemo ka "mbunge nitamchagua wa upinzani ila rais nitamchagua wa CCM". Hii inatokana na watu wengi kutoamini upinzani kushinda urais kutokana na mikoa mingi kama Tanga, Dodoma, Mtwara, Ruvuma, Pwani na mingineo mingi kutopata "ukombozi". Upinzani upo zaidi kwenye miji ya mikoa maarufu na kusahau maeneo ya vijijini hususan baada ya kufa kwa "Operation Sangara". Pia washabiki wengi wa upinzani ni vijana wa mijini ambao sio wapiga kura wazuri ukifananisha na CCM ambayo bado inategemea sana akina mama wa vijijini.

10. CCM itatumia manufaa (advantage) yake ya kuwa chama tawala, kwa mfumo wa usalama wa Taifa (intelligence) wa nchi kufuatilia taarifa za Lowassa na kuzifanyia kazi.


CCM imeingiwa hofu, Magufuli kuwa shughuli

KUNA hofu imetanda ndani ya CCM; hofu ambayo inajaribu kufichwa mapema kwani kama mambo hayatobadilika ndani ya miezi hii mitatu hivi iliyobakia kabla ya Uchaguzi Mkuu basi chama hiki kikongwe zaidi nchini kinaweza kujikuta kikipumzishwa kutoka madarakani kwa nguvu. Dalili ya hofu hii imeonekana baada ya kutangazwa kwa mgombea wao wa kiti cha Urais Dk. John Pombe Magufuli.

Mojawapo ya mambo ambayo yametokea baada ya Magufuli kutangazwa ni kauli za kuwa yeye “anakubalika na anachagulika”. CCM imetaka kuliaminisha taifa kuwa Magufuli siyo tu anajulikana kwa utendaji kazi wake, na kuwa wananchi wengi wanampenda na wanaweza kumchagua. Kiasi kwamba wametaka watu waamini kuwa Magufuli ni Rais anayesubiria (President in waiting). Kwamba, upinzani hauna nafasi hata kidogo ya kumnyang’anya uwezekano huo.

Ukweli ni kuwa matendo ya CCM hayaoneshi kujiamini huku. Kama kweli CCM inaamini Magufuli anajulikana na kazi zake zinakubalika nchi nzima kwa nini juhudi kubwa sana inajaribu kufanywa ya “kumtambulisha”. Unamtambulisha vipi mtu ambaye tayari unaamini anajulikana, kufahamika na kukubalika? Ukiangalia utaona kuwa CCM inataka kumtumia Magufuli kukibeba chama; tatizo ni kuwa Magufuli mwenyewe – ukiondoa kukariri kwake takwimu mbalimbali – utendaji kazi wake una shaka. Tayari wizara ambayo amekalia imeshagubikwa na kashfa lukuki na hili peke yake lingetosha hata kumchafua. Akija mgombea mzuri kutoka upinzani na akajizibu hizi takwimu za Magufuli, basi Magufuli na CCM iko matatani. Yote haya yanatosha kufanya watu wajiulize mara mbili kama kweli Magufuli hatokuwa shughuli kweli kweli.

CCM imepasuka, rekodi yake mbovu, na upinzani ukimsimamisha mgombea makini, Magufuli ataweza vipi kushinda? Njia pekee ya kushinda katika mazingira ya namna hiyo ni matumizi makubwa ya nguvu, vyombo vya dola na hata kuliingiza jeshi katika siasa kama walivyofanya chini ya Jenerali Shimbo mwaka 2010. Vyovyote vile ilivyo hata hivyo kuna hofu imetanda kwa CCM; hofu kama vile wingu zito la mvua lenye dalili ya radi na ngurumo. CCM hawajui sasa wafanye nini zaidi ya kuombea Magufuli aweze kuwaokoa. Akishindwa je Hili ndilo swali la kuogopesha zaidi kwa kila mwana CCM

Chanzo: Raia Mwema (22, July 2015)
 
¤Wapo wanaoamini kwamba Lowassa akihamia CHADEMA basi italeta mafuriko zaidi ya yale ya mwaka 1995 pale Augustine Mrema alipohamia NCCR Mageuzi.

¤Nitatoa sababu 10 kwa nini bado naona kuhamia CHADEMA kwa Lowassa bado kutakuwa na athari ndogo za kisiasa kwa CCM.

1. Makamanda wengi wa Lowassa aliokuwa nao CCM wamemuangusha na kumsaliti Lowassa. Wengi wameomba ubunge kwa kupitia CCM na wengi wameishampongeza John Magufuli. Hapa nazungumzia Sophia Simba, Hussein Bashe, Mzee Mgeja na wengineo. Hawa wengi wanaamini mamba ana nguvu akiwa ndani ya maji na sio nje ya hapo. Kambi ya Lowassa wengi wangeendelea kuwa naye kama mgombea urais wa CCM angekuwa Bernard Membe.

2. Umaarufu wa Mrema ulikuwa ni wa kuwatetea wananchi kwa mfano kashfa ya V.G. Chavda ambaye alikula hela za serikali badala ya kuendeleza mashamba la mkonge Tanga. Umaarufu wa Lowassa ni wa kununua kwa kufanya harambee, kununua makundi ya watu kumuunga mkono. Simulizi za "Maamuzi Magumu" ni za kuungaunga sana.

3. Lowassa akigombea urais kwa kupitia CHADEMA itaoneka kwamba kweli CHADEMA ni chama cha Kaskazini maana yeye na mwenyekiti wa chama wote ni wa ukanda huo. Mmoja Arusha mwingine Kilimanjaro.

4. Lowassa akigombea urais kupitia CHADEMA itasambaratisha UKAWA maana ukiachia James Mbatia ambaye ni rahisi kukubali mahitaji yoyote ya CHADEMA kwa vile tu anataka kupata msaada wa kugombea ubunge wa Vunjo, mtu kama Prof Lipumba sio rahisi kukubali Lowassa awe mgombea urais. Prof Lipumba alikuwa tayari Dr Slaa awe mgombea wa UKAWA. Lakini Dr Slaa tayari ameonyesha nia ya kurudia ubunge wake wa Karatu ili kumpisha Lowassa.

5. Mwaka 1995 mgombea wa CCM, Benjamin Mkapa alikuwa hajulikani sana kwa wananchi. Mwaka huu 2015 mgombea wa CCM, John Magufuli, kutokana hasa na uwaziri wake wa ujenzi anajulikana zaidi kwa wananchi ukifananisha na Mkapa wa mwaka 2005.

6. Katika chaguzi zote tokea uchaguzi wa vyama vingi uliporudishwa mwaka 1995 hakuna chama cha upinzani kilichopata hata nusu ya kura za urais wa CCM. Kwa mfano mwaka 1995 Mkapa (CCM) alipata 61.82% na Mrema (NCCR) alipata 27.77%. Mwaka 2010 Kikwete (CCM) alipata 61.17% na Dr Slaa (CHADEMA) alipata 26.34%. Hii ni miaka miwili ambayo CCM ilifanya vibaya zaidi. Miaka mingine ilikuwa ni majanga zaidi kwa upinzani.

7. CHADEMA wataonekana kulamba matapishi yao maana mpaka leo hawajawahi kukana hata sehemu moja ya "List of Shame" iliyotolewa na uwanja wa Mwembeyanga Jumamosi ya tarehe 15-Sep-2007 (kabla hata ya Richmond) ambayo ilimgusa pia Lowassa.

8. CCM itatumia nguvu kubwa ya kiuchumi. Ikumbukwe kila mwezi CCM inapata tsh 800M kama ruzuku, CHADEMA hupata robo yake tsh 200M.

9. Watanzania wengi bado wana kale kamsemo ka "mbunge nitamchagua wa upinzani ila rais nitamchagua wa CCM". Hii inatokana na watu wengi kutoamini upinzani kushinda urais kutokana na mikoa mingi kama Tanga, Dodoma, Mtwara, Ruvuma, Pwani na mingineo mingi kutopata "ukombozi". Upinzani upo zaidi kwenye miji ya mikoa maarufu na kusahau maeneo ya vijijini hususan baada ya kufa kwa "Operation Sangara". Pia washabiki wengi wa upinzani ni vijana wa mijini ambao sio wapiga kura wazuri ukifananisha na CCM ambayo bado inategemea sana akina mama wa vijijini.

10. CCM itatumia manufaa (advantage) yake ya kuwa chama tawala, kwa mfumo wa usalama wa Taifa (intelligence) wa nchi kufuatilia taarifa za Lowassa na kuzifanyia kazi.



Sababu za kitoto kabisa, nina mashaka na kichwa chako kitakuwa kinapitisha upepo.
 
Huyo mwanasiasa ni kama chakula cha moto ambacho polepole kitapoa na muda hadi muda kama hakipashwi moto chaweza kuchacha
 
Analysis yako kafanyie chooni na funza.lowwasa rais..kama unabisha bisha tu
 
Lowassa kawashika pabaya...sasa hamueni moja iyo october,ukawa kushika dola au mwamnyange kutawala nchi.

Achana na kujidanganya mkuu, Lowassa hana umaarufu kiasi hicho. Yeye alitegemea zaidi kutoatoa hela kumsaidie kupata umaarufu na hata wengi wanaomshabikia ni wale waliohemkwa na kujitolea kwake na si kwa kitu chochote cha maana alichofanya.
Ukimsimamisha Lowassa na John lager, utofauti ni mkubwa sana baina yao. Wakati mmoja Ana historia ya mafanikio ya kiutendaji aliyoiungunga yeye mwenyewe, mwingine Ana watu wengi watakaoyazungumzia mafanikio yake ya kiutendaji bila yeye kuzungumza hata neno moja kwani kila mtu anajua.
Kama lowassa Ana hekima, atulize mpira na aache kutangatanga ili walau heshima yake iliyobaki iendelee kutunzwa. Akibugi na kujitupa ukawa ambako obviously ataangukia pua pia, itabidi afanye utaratibu astaafu siasa coz huko hawezi kukaa akiwa mwanachama wa kawaida after mihemko, ndoto na purukushani za safari ya matumaini kufail.
 
Back
Top Bottom