Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Tulikuwa tunajadiliana jana "Who benefit the census??"
Jamaa akasema hii ni biashara hatari sana, viongozi waandamizi wanajilipa kwa nguvu muda huu toka mawizarani, mikoani hadi wilayani.
Hatimae alipendekeza Serikali iwe analipa kila nyumba buku 2 ili kupata dodoso za sensa......
Ikabidi nirudi hom, nimeze panadol, usingizi ukaniingia......
Jamaa akasema hii ni biashara hatari sana, viongozi waandamizi wanajilipa kwa nguvu muda huu toka mawizarani, mikoani hadi wilayani.
Hatimae alipendekeza Serikali iwe analipa kila nyumba buku 2 ili kupata dodoso za sensa......
Ikabidi nirudi hom, nimeze panadol, usingizi ukaniingia......