Habari wana JF. Ninaomba kujifunza, kuna faida gani za kutumia teknolojia ya digitali ukilinganisha na analojia? Kama tujuavyo mwaka ujao ndio mwisho wa matumizi ya teknolojia ya analojia. Je, kwa watumiaji wa satellite dish kwa ajili ya TV , wafahamu kuwa ile ni teknolojia gani kati ya hizo mbili? Pia watanzania wengi wanatumia redio kupata habari wajiandae vipi? Ahsante.