Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 727
- 1,210
He unioe mimi😲😯😯😯Do you love me? Tell me u ar read nikuoe
Astaghafirulilah, dunia simama nishukeDo you love me? Tell me u ar read nikuoe
Duh, utakuwa li singo maza wewe! Siyo kwa gubu hilo yaani kiufupi unatamani mfanane! Mwache mwenzio aolewe bwana!Achana naye akaoe m2 mwingine wewe utaolewa na mwenye uwezo wa kutunza majukumu ya familia.
Asikuchanganye bwana
Alaaa
Kuna watu wanaolewa/wanaowa na ambao wanadhani wanawapenda haswa. Lakini along the ndoa safari, kuna siku mmojawapo yanamtoka maneno kama bora ningeolewa/ningeowa fulani kuliko wewe..!! Kumba anasahau kuwa bora SHETANI UNAYEMJUA, KULIKO MALAIKA UNAYESIMULIWAVizuri
Naziona dalili zote za kuishia kwenye usingo maza! Endeleza huo ujinga wako utakuja ulie! Siku ukikosa wa kukuoa ndipo utakumbuka!Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
Tulia wewe! Si ulisema wewe ni babu😂😂Astaghafirulilah, dunia simama nishuke
😂😂😂😂🚶🚶Huyo Hachomoi Keshakwama Yaani
Atabadilika tu huyo.Habari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni
Ndiooo... Na niko tayari unioeTulia wewe! Si ulisema wewe ni babu😂😂
Ameshakwama Hochomoi Kasema AnampendaUamuzi unao wewe....
Mzee mwenzio anayajua hayoNdiooo... Na niko tayari unioe
Niko tayari ndoa ivunjike, unioe wewe.Mzee mwenzio anayajua hayo
Nasema Buji anayajua haya?Niko tayari ndoa ivunjike, unioe wewe.
Huyo ikibidi ntamdedisha tu. Sio kikwazo kwangu kabisa kwenye ndoa yetu changa. Nakupenda sana mume wangu mtarajiwa. Mahari ntajitoleaNasema Buji anayajua haya?
Jamaa yupo sahihi , miaka 35 Kwa mwanaume anasubir nini kuwa na familia kama hueleweki mwambie amove on na sio kumpotezea mda , na wewe pia upo kwenye alarming age , miaka 28 Kwa binti too old ....!! Unasita sita kitu gan , ukifikisha miaka 30 utaolewa na mibaba iliyoachika yenye watoto wakubwa , mwisho wa sku kuja kurumbana kwneye urithi, unampotezea mda mwenzako mwambie ili ajue Hana mtu atafte binti mwingine aoe Kwanza amekuheshimu Sana , wahuni wengine huwa tunachukua maamzi kimya kimyaHabari za wakati huu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye point, mimi ni binti wa miaka 28 nipo kitengo flan na mpenz wangu ana miaka 35 naye hivyo hivyo yupo kitengo flan. Sasa huyu mpenzi wangu nipo nae miaka mitatu sasa yeye alishanitambulisha kwao i mean ndugu zake wananifahamu. Mimi kwetu anamfahamu dada yangu tu,
Kiufupi nimeshindwa kumtambulisha kwani bado namtafakari tabia zake. Kwani ni mtu anayependa starehe sana (Hii labda inatokana na nature ya kazi yake) kiukweli ninavyomwangalia sioni kama ni mtu anayeweza kubeba majukumu kama baba wa familia, hii imepelekea mimi kusita sana kuolewa naye japo nampenda.
Wakubwa imefikia sehemu migogoro imekuwa mikubwa anataka anioe, nikamtambulishe nyumbani au nimzalie mtoto au tuachane. Nipo njia panda nina wiki sasa hatuongei nashindwa niamue nini nipeni ushauri wenu juu ya hili.
Ahsanteni