Anakipajii anahitajii kuendelezwaa hebu cheeki

Anakipajii anahitajii kuendelezwaa hebu cheeki

paulndasi9

Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
83
Reaction score
9
Kipajii cha huyuu jama ndichoo kilichoo nifnya nimtafutee hukoo kijijini kwakee
 

Attachments

  • 1448110037165.jpg
    1448110037165.jpg
    40.2 KB · Views: 1,335
Hiyo nn mkuu! Ni guta au helicopter
Tueleze vzuri
 
Hiyooo ni pikpiki alioo iundaa mmfano wa guta na kuiwekeea injini ya pikipiki
 
Kiukwelii imee ni vutiaa saana kipaji kama hichii kinaitajii kuendelezwaa ili kisipotee haya yotee ameyafanyaa kwa kuunganisha miti na vyumaa baadhiii
 

Attachments

  • 1448113033917.jpg
    1448113033917.jpg
    39.9 KB · Views: 489
  • 1448113064916.jpg
    1448113064916.jpg
    50.6 KB · Views: 915
  • 1448113082106.jpg
    1448113082106.jpg
    38.1 KB · Views: 921
  • 1448113122555.jpg
    1448113122555.jpg
    37.3 KB · Views: 904
  • 1448113139175.jpg
    1448113139175.jpg
    45.6 KB · Views: 427
Mie sioni cha maana hapo...angekua anapaa hapo sawa...huyo anajikinga jua tu.
 
Mie sioni cha maana hapo...angekua anapaa hapo sawa...huyo anajikinga jua tu.

kuna hatua wakati wa utoto aliluka hakupitia ndio maana anazikamilisha now.hayo sisi wengine tulisha yacheza sana naona jamaa now ndio anakamilisha
 
Hiyooo ni pikpiki alioo iundaa mmfano wa guta na kuiwekeea injini ya pikipiki

Aifungue basi tuione , isije kuwa bomu la ISIS kwani
kalifunika gubi gubi kama anataka kwenda kulilipua mahala
flani vile.

attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom