Anakasirika simpost mitandao ya kijamii.

PEVU HALISI

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2018
Posts
207
Reaction score
85
Ni manzi pini kiasi chake. Ila ugomvi wake mkubwa anakasirika simpost kwenye mitandao ya kijamii.
Mi namwambia, baby we nimekupost kwenye moyo huko kwenye mitandao sio kipimo cha upendo, hanielewi kabisa na kukasirika juu.

Eti, wadau... Namuonea kwani??
 
Nipe namba yake nimpe hai

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
wala humwonei, huo ni ulimbukeni kwani akionekana kwenyemitandao kunachangia nini? kikubwa we mwambie sikupost kwasababu mapenzi yangu si ya mitandao akiona ni kosa kubwa basi achukue hatua stahiki atakazoona zinafaa mie nilikuwa na case ka yako na niliitatua kibabe tuu
 
Sawa sawa chief
 
Mapenzi yana kila aina ya mikasa. Pole mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…