Shida unapenda afu unaganda hapo hapo. ..mimi kiukweli namtokea demu, napiga papuchi then nampa buku. Nampa ahadi kibao akipiga mzinga tu namwambia njoo uchukue afu napiga papuchi tena hadi punye yangu inasinyaa, namchukua na gari yangu namwacha karibu na kwa na kumpa buku 5, ndo hanioni tena. Naendelea kutafuta wengine under 22 na style ni hiyo hiyo
Nawe kaa kimyaaa, akikupigia tuu mpige kizinga
ana uwezo sasa wanaume wa dar hatari,..Siumwambie mwenyew au unamuogopa? Sie hayatuhusu.
Mkishajijua kwanini ninyi ni wanaume hamtatia Aibu . Nafikiri wanaoandika malalamiko ya kuombwa pesa na wakinadada hawajakomaa na wananuka bado maziwa.
Kama mnajiona hamuwezi kwanini kuanzisha mahusiano wakati bado wanafunzi au malofa fulani hivi...ebu tafuteni pesa. Kwa asili mwanaume kaumbwa ku provide mahitaji ya mwanamke na familia yake kwa ujumla...hamuwezi kanyweni maji mkalala na asubuhi mkiamka hiyo milingoti iwe imelala
Kama wewe ni mwanaume na umeandika hivi au umesema hili neno utakuwa ni wale wanyoosha vidole juu,, si riziki!....mwanaume kamili hana maneno yakimbea mbea kama wakina mama wauswahilini.Povvvvuuuu!!!;
Hivi nyie kina dada wa mjini tena maeneo ya uswazi hii tabia mtaacha lini,
mkioneshwa kupendwa mnaleta mapozi utadhani mnatoka mboga Saba.
Simu hampigi hadi mpigiwe na mkipigiwa mnaanza kueleza shida zenu lukuki je usingepigiwa hizo shida ungeeleza saa ngapi.
Kuna haka kasichana kangu yani huyu msichana hapigi simu hatumi SMS, nikimtafuta tu atatoa sababu kibao na mzinga juu yani analeta usanii kwa msanii mwenzake
nina kama Siku 3 sijamtafuta hajanitafuta.
Leo namsalimia nakumbana na kizinga heavy ujue nawashangaa wanawake wa dizaini hii ya kuona kila mwanaume ni boya anatoa tu mpunga, sio kwa enzi za Magufuli wewe dada bora unione mwanaume suruali ila nimekuchoka.
Kama wewe ni mwanaume na umeandika hivi au umesema hili neno utakuwa ni wale wanyoosha vidole juu,, si riziki!....mwanaume kamili hana maneno yakimbea mbea kama wakina mama wauswahilini.
ebu kuweni wanaume jamani ni Aibu.
it is you ,who should look for help. Wanaume huwa wanachagua maneno ya kuongea....hapo wewe ndiye mwenye matatizo makubwa. Hata mimi sina shida ya kuongea na wewe....nilikujibu kwasababu ulini quoteWe una matatizo makubwa siwez kukujib zaid, go find help,..