Mzee Chapuuka
Member
- Apr 21, 2017
- 97
- 243
Hivi nyie kina dada wa mjini tena maeneo ya uswazi hii tabia mtaacha lini,
mkioneshwa kupendwa mnaleta mapozi utadhani mnatoka mboga Saba.
Simu hampigi hadi mpigiwe na mkipigiwa mnaanza kueleza shida zenu lukuki je usingepigiwa hizo shida ungeeleza saa ngapi.
Kuna haka kasichana kangu yani huyu msichana hapigi simu hatumi SMS, nikimtafuta tu atatoa sababu kibao na mzinga juu yani analeta usanii kwa msanii mwenzake
nina kama Siku 3 sijamtafuta hajanitafuta.
Leo namsalimia nakumbana na kizinga heavy ujue nawashangaa wanawake wa dizaini hii ya kuona kila mwanaume ni boya anatoa tu mpunga, sio kwa enzi za Magufuli wewe dada bora unione mwanaume suruali ila nimekuchoka.
mkioneshwa kupendwa mnaleta mapozi utadhani mnatoka mboga Saba.
Simu hampigi hadi mpigiwe na mkipigiwa mnaanza kueleza shida zenu lukuki je usingepigiwa hizo shida ungeeleza saa ngapi.
Kuna haka kasichana kangu yani huyu msichana hapigi simu hatumi SMS, nikimtafuta tu atatoa sababu kibao na mzinga juu yani analeta usanii kwa msanii mwenzake
nina kama Siku 3 sijamtafuta hajanitafuta.
Leo namsalimia nakumbana na kizinga heavy ujue nawashangaa wanawake wa dizaini hii ya kuona kila mwanaume ni boya anatoa tu mpunga, sio kwa enzi za Magufuli wewe dada bora unione mwanaume suruali ila nimekuchoka.