Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,692
- 58,751
Already there dearest!twende kule tukafanye recruitment.....l.o.l
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Already there dearest!twende kule tukafanye recruitment.....l.o.l
"hujui uko kwenye competition"?..
inaniuma na kuniogopesha sana?
Bora ule kona mapema, mpano uwe hivi:
1.Mzushie jambo baya sana kwa shoga yako wa ukweli (huyu atakupa moyo hata kama wewe ndio tatizo)
2.Kamtibue makusudi ili akuwakie na ikibidi atukane theni kula kona kabisa.(ukitimliwa ni vigumu kurudi kuliko kujiondokea mwenyewe)
3.Jiapize hutapokea simu yake na wala hutampigia (ukiweza hili hapo umeshamwacha)
UKIENDELEA KUKAA NAYE HUYO NI SAWA NA KUAHIRISHA MSIBA KAMA KUFA MTU KESHA KUFA.
inaniuma na kuniogopesha sana?
Bora ule kona mapema, mpano uwe hivi:
1.Mzushie jambo baya sana kwa shoga yako wa ukweli (huyu atakupa moyo hata kama wewe ndio tatizo)
2.Kamtibue makusudi ili akuwakie na ikibidi atukane theni kula kona kabisa.(ukitimliwa ni vigumu kurudi kuliko kujiondokea mwenyewe)
3.Jiapize hutapokea simu yake na wala hutampigia (ukiweza hili hapo umeshamwacha)
UKIENDELEA KUKAA NAYE HUYO NI SAWA NA KUAHIRISHA MSIBA KAMA KUFA MTU KESHA KUFA.
Duuh nimekumiss ile ni aje.duh,sikuwezi.....:A S 13::A S 13:
unajua wanaume wanapenda kubembelezwa ila isiwe too much kutufanya wengine watumwahuu ushauri kiboko.....:a s 13::a s 13:
Duuh nimekumiss ile ni aje.
UKITAKA MWACHA MTU LAZIMA UMZUSHIE JAMBO LA AJABU ILI MASHOGA ZAKO WAKUUNGE MKONO LA SIVYO WATAKUCHAMBA SANA
naogopa tu kuongea manake nahisi kutapika vipepeo kama sio kutoa povu!!!
inaniuma na kuniogopesha sana?
Bora ule kona mapema, mpano uwe hivi:
1.Mzushie jambo baya sana kwa shoga yako wa ukweli (huyu atakupa moyo hata kama wewe ndio tatizo)
2.Kamtibue makusudi ili akuwakie na ikibidi atukane theni kula kona kabisa.(ukitimliwa ni vigumu kurudi kuliko kujiondokea mwenyewe)
3.Jiapize hutapokea simu yake na wala hutampigia (ukiweza hili hapo umeshamwacha)
UKIENDELEA KUKAA NAYE HUYO NI SAWA NA KUAHIRISHA MSIBA KAMA KUFA MTU KESHA KUFA.
kina dada mko na hasira kweli kwenye hii sredi. nasubiria mpunguze munkari nimpe sweetdada konklusheni. au nazani nitamPM kwavile hapa temperature za kina mama zinaonekana kurise direct proportional na number of posts.
WanaJF naombeni maoni au ushauri nifanyeje kuhusu hili.
Niko kwenye uhusiano wa miaka 6 sasa na nimezaa na huyu kijana,ninampenda sana na yeye analijua hilo,tatizo ni kwamba kwa muda wote huu he was okay,ila sasa hivi amebadilika anajiona bab kubwa kisa wanawake wanamfwata so hemost of the times compares me na hao wanawake wanaomtaka kimapenzi,imefikia point kama nikifanya kitu hajapenda anadiriki kunambia kuwa "hujui uko kwenye competition"?..sasa hii tabia kwa kweli siipendi.
Nikiamua kumkalia kimya anasema ooh una mtu ndo mana unaniignore,sijui nimfanyeje huyu mwanaume kwa kweli..kuoa hana dalili kila leo kuna jambo,ilikuwa mpaka amalize kusoma sasa hivi mpaka amalize kujenga.nikimuacha anarudi.
nashindwa kumuelewa.je nimuache,nimfanyejee?nikiongea nae anasema napenda kulalamika..dont know what to do..nishaurini tafadhali
kwa situation ya huyu dada ni lazima atahitaji tu. unajua mkisoma vizuri post yake hapo kwenye maeneo ya competition nadhani tunaweza tukapakarabati ikawa two ways competition na hiyo itakuwa ni suluhu ya kudumu kabisa. kama umesomea sheria&law utaelewa hapa naongelea nini.Mmh..hivi kwani amesema anahitaji klorokwin???!!!
Karibu............
kwa situation ya huyu dada ni lazima atahitaji tu. unajua mkisoma vizuri post yake hapo kwenye maeneo ya competition nadhani tunaweza tukapakarabati ikawa two ways competition na hiyo itakuwa ni suluhu ya kudumu kabisa. kama umesomea sheria&law utaelewa hapa naongelea nini.