Anaitwa Mohamed Yorobo Bangoura

Anaitwa Mohamed Yorobo Bangoura

Kweli kabisa kaka, na kwa namna hii tusahau kuhusu ubingwa wa caf champions league.
Wameletewa wachezaji nyumbani ila wao wameanza kusajiri haraka haraka kwa wachezaji wanaowajua wao wa kubahatisha huwa hawataki kuchukua cream mimi hao nawajua sana na ikiwa cream hawataki kukaa nayo kwa sababu hawana pesa za kuwalipa wachezaji bora kwa sababu mchezaji bora anakaa popote ili mradi umlipe vizuri tu sio kubahatisha..
 
Wameletewa wachezaji nyumbani ila wao wameanza kusajiri haraka haraka kwa wachezaji wanaowajua wao wa kubahatisha huwa hawataki kuchukua cream mimi hao nawajua sana na ikiwa cream hawataki kukaa nayo kwa sababu hawana pesa za kuwalipa wachezaji bora kwa sababu mchezaji bora anakaa popote ili mradi umlipe vizuri tu sio kubahatisha..
Ukweli mchungu aisee, kinachonikera zaidi ni pale wanasajili magarasa then wanaanza kuwapamba mitandaoni kwa kuwabatiza majina tofauti tofauti na sifa zisizo na uhalisia wowote.
 
Najiuliza kwanini timu inasajili wachezaji wabovu? Ni maelekezo ama ni nini ..au kisiasa...
Wanasajili wachezaji wa bei rahisi kwa maslahi yao wenyewe, mfano mchezaji wanamnunua 200m wanasema wamnunua 600m zilizobaki wanagawana kina mangungua hao. Nashindwa kuelewa boss anafeli wapi kufatilia.
 
Back
Top Bottom