Anaitwa Mohamed Yorobo Bangoura

Anaitwa Mohamed Yorobo Bangoura

Yohimbe bark

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
2,843
Reaction score
7,250
Aisee hii ni beki ya kushoto kutoka Guinea inakiwasha kinoma leo kakiwasha sana game ya SA vs Guinea. Aisee Simba sports club please mleteni huyu jamaa
On remet ça demain_ vendredi_ face au pays hôte _ l_Ouganda 🇺🇬  _Ambiance électrique annoncée_...jpg
 
Kuna mwenzako tayari ameshaanzisha uzi mwingine wa kumhusu beki wa aina hiyo hiyo. Anaitwa Hernest Malonga! Unaambiwa tangu kuubwa kwa huu ulimwengu, simba haijawahi kuwa na beki wa kushoto mwenye sifa kama huyo Malonga.
 
Pamoja na kuwa mwanasimba lakini nikiri wazi kuwa wenzetu yanga wako vizuri linapokuja suala la usajili
Hujakosea mkuu, simba wenyewe ni ngonjera za mitandaoni za kina ahmed ally kuwajaza wachezaji wabovu sifa tuu kuliko uhalisia wenyewe, wanasajili wachezaji wabovu kwa maslahi yao wenyewe.
 
Mkuu mpaka Sasa timu yangu ya Simba nasikia inasajili lakini kwangu Mimi ukiniuliza nitajie wachezaji ambao wamesajiliwa na Wana hadhi ya kucheza Simba naona kidogo sowah na yule beki wa mamelod Hawa wengine kwakwel tujiandae kisaikolojia
Hujakosea mkuu, simba wenyewe ni ngonjera za mitandaoni za kina ahmed ally kuwajaza wachezaji wabovu sifa tuu kuliko uhalisia wenyewe, wanasajili wachezaji wabovu kwa maslahi yao wenyewe.
 
Mkuu mpaka Sasa timu yangu ya Simba nasikia inasajili lakini kwangu Mimi ukiniuliza nitajie wachezaji ambao wamesajiliwa na Wana hadhi ya kucheza Simba naona kidogo sowah na yule beki wa mamelod Hawa wengine kwakwel tujiandae kisaikolojia
Kabisa mkuu tujiandae kisaikolojia uto atatubonda mpaka mara 100 non stop, uongozi wa simba ni fuvken kabisa sijui wana malengo gani na hii timu, uyu kanjibai nae ni taraabu tuu mitandaoni hamna kitu. All in all tunaoumia ni sisi mashabiki.
 
Kabisa mkuu tujiandae kisaikolojia uto atatubonda mpaka mara 100 non stop, uongozi wa simba ni fuvken kabisa sijui wana malengo gani na hii timu, uyu kanjibai nae ni taraabu tuu mitandaoni hamna kitu. All in all tunaoumia ni sisi mashabiki.
Janja janja ni nyingi mno toka ile siku yule kiongoz aje na manzoki na kutujaza upepo kuwa ameshasajiliwa na mwisho wa siku yakatokea yaliotokea toka hiyo siku sijawahi kuwa na Imani na uongoz wa Simba nawaonaga Kama watu flan ambao hawako serious.
Ni vile Basi tu lakini Sina uhakika Kama wanajua maumivu tunayopata mashabiki.
 
Janja janja ni nyingi mno toka ile siku yule kiongoz aje na manzoki na kutujaza upepo kuwa ameshasajiliwa na mwisho wa siku yakatokea yaliotokea toka hiyo siku sijawahi kuwa na Imani na uongoz wa Simba nawaonaga Kama watu flan ambao hawako serious.
Ni vile Basi tu lakini Sina uhakika Kama wanajua maumivu tunayopata mashabiki.
Ndio hivyo mkuu hatuna jinsi.
 
Hizo Timu hazichukui wachezaji wazuri mnaowaona baadae utasikia kavalishwa jezi mcheza muziki kutoka DRC na kusajiriwa hawa wachezaji ambao wapo sokoni kila mtu anamuona wao hawawataki kuwakagua..
 
Hizo Timu hazichukui wachezaji wazuri mnaowaona baadae utasikia kavalishwa jezi mcheza muziki kutoka DRC na kusajiriwa hawa wachezaji ambao wapo sokoni kila mtu anamuona wao hawawataki kuwakagua..
Kweli kabisa kaka, na kwa namna hii tusahau kuhusu ubingwa wa caf champions league.
 
Back
Top Bottom