Habari wanaJF
Kuna mzee ana shamba anahitaji mtu wa kushirikiana nae kulima (Mtu huyo ataweka mtaji), mzee atatoa shamba. Shamba hilo lina kisima in case mvua ikikosekana.
Shamba liko Bahamoyo (Yombo)
Kama uko interested niPM nikuunganishe nae.
Ahsante