GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,280
- 2,898
Habari wanaJF
Kuna mzee ana shamba anahitaji mtu wa kushirikiana nae kulima (Mtu huyo ataweka mtaji), mzee atatoa shamba. Shamba hilo lina kisima in case mvua ikikosekana.
Shamba liko Bagamoyo (Yombo)
Kama uko interested niPM nikuunganishe nae.
Ahsante
Kuna mzee ana shamba anahitaji mtu wa kushirikiana nae kulima (Mtu huyo ataweka mtaji), mzee atatoa shamba. Shamba hilo lina kisima in case mvua ikikosekana.
Shamba liko Bagamoyo (Yombo)
Kama uko interested niPM nikuunganishe nae.
Ahsante