Anahitajika mtaalam wa Animals breeding

Mshawa

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
787
Reaction score
325
Mahala pa kazi ni hapa Tanzania, mshahara wa kuanzia ni 2 million, pamoja na usafiri na malazi, awe na driving licence, awe pia na uzoefu wa miaka 2 katika kazi hiyo, awe na at least B. sc animals breeding na kuendelea...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…