Nkuba25
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,374
- 13,097
Habari Wana Bodi
Natarajia kufungua ofisi/workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.
Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.
Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.
Asante
Natarajia kufungua ofisi/workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.
Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.
Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.
Asante