Anahitaji ushauri

gstar

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
814
Reaction score
1,490
Mimi naitwa Halima ni msichana wa miaka 19 Nasoma kidato cha tatu (form 3) hapa Arusha.... nimejitokeza kwenu kuomba ushauri
Mimi nina mpenzi wangu ambae yupo chuo kikuu, ana miaka 25... kutokana na upendo anaonionyesha sitamani tena kuendelea na shule... kwani nikiwa darasani muda wote namuwaza yeye tu.

Nilicho penda kutoka kwa huyu BOYFRIEND wangu ni kua ananijali sana na ana pesa kwan kwao wanajiweza kifedha... ananionga sana PESA kwani nikitaka hela ya CHIPS KUKU hua ananipa, hela ya lotion, pafyumu na saloon hua ananipa kila mwezi kwahiyo sina shida na shule wala sioni umuhimu wa shule.

NAOMBENI ushauri wenu jamani.. niwaambie nini WAZAZI wangu ili wanikubalie niache SHULE ili niolewe na huyu MWANAUME nifaidi pesa zake na mali za nyumbani kwao
 
huyo anahitaji cancelling ya kufa mtu. miaka 19 kwa kidato cha tatu nayo ni mingi mno khaaa! ndio maana anaona mizinguo darasa zima atakuwa kijeba yeye.
 
heee jamani sijawahi kushangaa kama nilivyoshangaa leo
bestito nini kimekupata hutaki kuendelea na shule unataka
kuolewa? hivi bestito nikuulize ukishaolewa unategemea nini
kitokee mbeleni?

hivi unafikiri ukiolewa nae ndo utafaidi hizo pesa? shostito
umeula wa chuya WANAUME siku hizi wanataka kusaidiana
na sio wewe ukawe golikipa, HIVYO
Nakushauri usome umalize shule kwanza mambo ya NDOA
yapo utaolewa tu naye kwani kama umeandikiwa ni wako
atakuwa wako achana na hiyo dhana potofu ya kuacha shule.
mie ni hayo tu usinikasirikie kwani umetaka ushauri tu
 
Waambie wazazi wako umeamua kuacha shule kwa kuwa umepata mwanaume anayekununulia chips kuku wakat shuleni unakula ugali

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mwambie aache tu shule aolewe wakale chips kuku na mme wake....
 
hahaaa zaman wakati nasoma wale wadada walikua wakisema nna mpenzi

yuko chuo, ie anasoma UD naona mmh hawa wamepata, wako level fulan yaani nilivyofika

chuo nilikuwa nacheka mie mwenyewe tu
 
Haya mambo ya kukopi facebook yamezidi sasa.

We kilaza kwani unatakaje, lengo ni kufikisha ujumbe no matter habari imetoka wapi kuna wengine huko fb hawana habari napo
 

Are u for real????????? :A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
hahaaa zaman wakati nasoma wale wadada walikua wakisema nna mpenzi

yuko chuo, ie anasoma UD naona mmh hawa wamepata, wako level fulan yaani nilivyofika

chuo nilikuwa nacheka mie mwenyewe tu

Chuo nowdays si lolote mkuu kama msichana anajivunia kuwa na bf wakechuo kikuu aandike ameumia!!
 
huyo anahitaji cancelling ya kufa mtu. miaka 19 kwa kidato cha tatu nayo ni mingi mno khaaa! ndio maana anaona mizinguo darasa zima atakuwa kijeba yeye.

Umenichekesha ile mbaya
 
waeleze wazazi umuambie na jamaa aje nyumbani kutoa posa.
hongera sana
 
Aliwazalo mjinga always hawi successful
Mwambie ata subiri sanaa vya bure
 
Mi kwakweli nimeishia kucheka tu. Ananihonga chips na hela ya kununua lotion damn.
 

Copy and paste.
 
Nadhani unatatizo kwenye hicho kichwa chako,badala ya kuwaza masomo unawaza chips kuku shwaaaaaaaanniiiiiii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…