Anahitaji muda wa kufikiria

Anahitaji muda wa kufikiria

Juzi kaniambia ana changamoto kwenye mahosiano yake anaomba ushauri....

bro watch out, usimpe attention sana this time! know why? atakugeuza kuwa “Mr. Problem solver”.. atakutumia kutatua shida zake akikosana na mshkaji then anarudi kwake.

Nilikua katika situation kama yako once, the only thing u can do now usimpe attention yako 100% (don’t settle for less), onesha kwamba she ain’t deserve ur attention, hii ita improve value yako.

Maadam ulishamuomba msamaha na anajua kabisa kuwa unampenda, hii inatosha, now get busy with ur stuffs and build urself up (tafuta pesa, pendeza, be confident) tunaita “increase your DMV (demand value) akuone kweli ni mtu tofauti.

ukianza kuonesha uko desperate sana umekwisha, atakupelekesha kama kiroba. Na atakutumia kwelikweli na utamkosa
 
bro watch out, usimpe attention sana this time! know why? atakugeuza kuwa “Mr. Problem solver”.. atakutumia kutatua shida zake akikosana na mshkaji then anarudi kwake.

Nilikua katika situation kama yako once, the only thing u can do now usimpe attention yako 100% (don’t settle for less), onesha kwamba she ain’t deserve ur attention, hii ita improve value yako.

Maadam ulishamuomba msamaha na anajua kabisa kuwa unampenda, hii inatosha, now get busy with ur stuffs and build urself up (tafuta pesa, pendeza, be confident) tunaita “increase your DMV (demand value) akuone kweli ni mtu tofauti.

ukianza kuonesha uko desperate sana umekwisha, atakupelekesha kama kiroba. Na atakutumia kwelikweli na utamkosa

atakutia kwny friend zone utaendeleaga kumchekesha chekesha akiwa bored kila siku na ku solve matatizo yake, ukiongelea mapenzi atakua anakwepa then we utajipa moyo kwamba bado anahitaji mda kujifikiria, utazidisha care zaidi na upendo zaidi huku ye akiwa ana avoid kuongelea mambo ya love (utakua unatumika bila kujua).

siku unakuja kustuka too late ushapoteza mda wako, hisia na pesa zako bure.

Sikiliza ushauri wangu nlokwambia hapo kuu maana nmepitia hio situation, kama anakupenda atarudi mwenyewe maana anajua unampenda na besides ushaomba msamaha. Hii inatosha sana.
 
Jamani hakuna ambaye ameshawahi kuwa kwenye wakati kama huu anipe uzoefu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mahusiano its a complicated story wakati mwingine Unaweza sema ww ndo umemkosea kumbe yeye alikua sababu ya wewe kutenda kinyume yote yanawezekana mana Mm huwa naamini upendo ni hisia na hisia hizo ziwe ni zile za kumaanisha sio za kutake advantage to each other.

So mpe muda kama anavyotaka there is no need ya kumrazimisha akusamehe uenda kama kosa lenyewe litatafsilika kinyume
 
Ananiambia jamaa kaanza kuwa tofauti na aeleweki baada ya kumpa ujauzito.....me nina kipenzi changu sina muda
 
Ananiambia jamaa kaanza kuwa tofauti na aeleweki baada ya kumpa ujauzito.....me nina kipenzi changu sina muda
Hahaa,
Author bhaaana, hivyo anajuta kukupoteza sahii.??

'maaan', I love that sh**'..! Napenda mtu aende kwa mbwembwe halafu baadaye arudi akitia hurumaa.!

Ila kwenye issue yako wewe ndiyo ulizingua.!
 
Hahaa,
Author bhaaana, hivyo anajuta kukupoteza sahii.??

'maaan', I love that sh**'..! Napenda mtu aende kwa mbwembwe halafu baadaye arudi akitia hurumaa.!

Ila kwenye issue yako wewe ndiyo ulizingua.!
Tukuzinguana
 
Back
Top Bottom