Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,745
- 8,222
Habari wana JF, bhana nina mpenzi wangu ambaye nampenda sana na nimepanga ajr kuwa mke wangu ila wiki kama tatu zilizopita nilimkosea nikawa nimemuumiza sana....Lakini nimefahamu kosa langu na nikamwomba msamaha sana.Jibu lake aliniambia amenisamehe na yaliyotokea tuyaache kwa kuwa hatuwezi kuyabadilisha ila kaniambia anaomba nimpe muda afikirie mwenyewe,nisizungumze naye kuhusu mahusiano kwasasa labda mazungumzo ya kawaida tu...Naomba kujua hii inamaanisha nini?,,na je niache kuwasiliana naye kwa muda au vipi maana yeye yupo mbali na mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app