Anahitaji kazi yoyote

Anahitaji kazi yoyote

Posho City

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
648
Reaction score
418
Wadau mke wangu ni form four leaver ya 2008 na ana points 29 lakini familia zetu za kibongo kwao hawakumuendeleza na nimekuja kumuoa hajasomea fani yoyote ila life la kunitegemea mimi tu kiujumla ni gumu.

Sasa nipo naye Dar es Salaam na kiukweli mimi uwezo wa kifedha ni mdgo. Hana utaalamu wowote kiukweli ila anaweza fanya kazi zote zisizo za kitaalamu mfano kuuza duka au kama wadau atakayokuwa nayo ntashukuru.

Kwa mawasiliano ni 0716060380 na Dar tunaishi Tabata.
 
Wadau mm nina wife yeye ni form four leaver ya 2008 na ana points 29 lkn familia zetu za kibongo kwao hawakumuendeleza na nimekuja kumuoa hajasomea fani yoyote ila life la kunitegemea mm tu kiujumla ni gumu.
Sasa nipo naye Dar na kiukweli mm uwezo wa kifedha ni mdgo.
Hana utaalamu wowote kiukweli ila anaweza fanya kazi zote zisizo za kitaalamu mfano kuuza duka au km wadau atakayokuwa nayo ntashukuru.
Kwa mawasiliano ni 0716060380 na dar tunaishi tabata.

Mungu atasikia hitaji la moyo wako!

USHAURI:
jitahidi km mnaweza akafanye hata kozi za uhudumu wa afya yaani medical attendant, itamsaidia!
sina uhakika na ualimu grade A kwa point hizo unaeza pata pa kuanzia!
 
Uta go ngewa wewe mwanamke pambo la nyumba acha atulie nyumbani
 
Mungu atasikia hitaji la moyo wako!

USHAURI:
jitahidi km mnaweza akafanye hata kozi za uhudumu wa afya yaani medical attendant, itamsaidia!
sina uhakika na ualimu grade A kwa point hizo unaeza pata pa kuanzia!

Huo ndo mpango mkuu.Sema wakati tunajipanga awe mahali.Ahsante.
 
kwa nini usimfunguli wife hilo duka au aende kukaaanga samaki kama wanawake wengine au kuroast mihogo sasa unataka akauze duka la mtu hivi unajua si kila mtu anafaa kuuza duka ,na kuna umri fulani ukikaa dukani watu hawaji fungue biashara ya familia pamoja
 
Mfungulie genge mtaani anaweza pata pesa kubwa kuliko hata mshahara wa kuuza duka la mtu.
 
Mkuu jimek akapige ualimu wa shule za msing kaka.after one year atokutegemea then atajiendesha mwenyewe
 
Wadau mke wangu ni form four leaver ya 2008 na ana points 29 lakini familia zetu za kibongo kwao hawakumuendeleza na nimekuja kumuoa hajasomea fani yoyote ila life la kunitegemea mimi tu kiujumla ni gumu.

Sasa nipo naye Dar es Salaam na kiukweli mimi uwezo wa kifedha ni mdgo. Hana utaalamu wowote kiukweli ila anaweza fanya kazi zote zisizo za kitaalamu mfano kuuza duka au kama wadau atakayokuwa nayo ntashukuru.

Kwa mawasiliano ni 0716060380 na Dar tunaishi Tabata.

Mpeleke veta akapige kozi kama za ususi , mapishi , na kozi za ujasiriamali za mtindo huo .. zinalipa kuliko hata huo ualim na pia ni za mda mfupi
 
Hata angeenda soma hats secretary pia itasaidia kupata kazi hats stationary
 
Back
Top Bottom