Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

Anahatarisha uhai wa ndoa yangu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,156
Reaction score
55,653
Nimekuwa na uhusiano wa pembeni wa hapa na pale, kwa ajili ya kupooza injini pale inapopata moto. Mbaya zaidi hawa warembo wangu wamekuwa na tabia ya kunijulia hali hata kama ni usiku wa manane bila kujali muda ule niko na bi mkubwa au la.

Nimejaribu kuwaeleza kila mtu kwa muda wake kuhusu utaratibu wa mawasiliano, lakini baada ya siku mbili tatu tatizo linarudi tena.

Natamani kuwaacha lakini roho inauma. Imenibidi kila ninapokuwa na mwenzangu niblock namba zao ili kunusuru ndoa yangu.

Wakuu tatizo la namna hii huwa mnatatuaje?
 
Hii ni unaanza mapenzi chuo. Unamaliza chuo unapata kazi ndani ya mwezi bila kulaza damu unaamua kumuoa binti uliyekutana naye chuo.

Baada ya vumbi kutulia ndiyo unagundua huyo binti hakuvutii hata kidogo ila ilikua ni unaingia ndoani kisa nyege. So unakua ni kijana wa miaka 25 upo kwenye ndoa ambayo huna hamu nayo huku una michepuko lukuki.

You are young hujui hata kufanya maamuzi but you live in a social media era so you take your problems to the world expecting a solution.

Good luck.
 
Anahatarisha uhai wa ndoa yangu...

Nimekuwa na uhusiano wa pembeni wa hapa na pale, kwa ajili ya kupooza injini pale inapopata moto.Mbaya zaidi hawa warembo wangu wamekuwa na tabia ya kunijulia hali hata kama ni usiku wa manane bila kujali muda ule niko na bi mkubwa au la.

Nimejaribu kuwaeleza kila mtu kwa muda wake kuhusu utaratibu wa mawasiliano, lakini baada ya siku mbili tatu tatizo linarudi tena. Natamani kuwaacha lakini roho inauma. Imenibidi kila ninapokuwa na mwenzangu niblock namba zao ili kunusuru ndoa yangu.

Wakuu tatizo la namna hii huwa mnatatuaje?

Wewe ni mvulana, bado hujawa mwanaume
 
Hii ni unaanza mapenzi chuo. Unamaliza chuo unapata kazi ndani ya mwezi bila kulaza damu unaamua kumuoa binti uliyekutana naye chuo.

Baada ya vumbi kutulia ndiyo unagundua huyo binti hakuvutii hata kidogo ila ilikua ni unaingia ndoani kisa nyege. So unakua ni kijana wa miaka 25 upo kwenye ndoa ambayo huna hamu nayo huku una michepuko lukuki.

You are young hujui hata kufanya maamuzi but you live in a social media era so you take your problems to the world expecting a solution.

Good luck.
Hata wazee pia wana michepuko mkuu
 
Ni vizuri pia kupima ukimwi na STIs nyingine, kwani hiyo michepuke pengine nayo inachepuka, pili hujui kama wife naye anachepuka.
 
Back
Top Bottom