vipi? una m 5 hapo ni kuunganishe na jamaa yangu ikulu akufanyie michakato fasta?ni kama mwaka nahangaika kumuhamisha wife ambae ni mwalimu wa sec ahamie dar bila mafanikio sasa anaeweza kunisaidia kupata nafasi ani
PM nipo tayari for any cost
Mkuu T wewe ni mwizi wa bayana
M 5 ?
yaani hii ni changamoto kwani mtoto akiumwa basi upo kwenye basi na ukienda kwenye hizi almashauri unavyozungushwa na kupewa majibu yanayokatisha tamaa eti uombee labda mtu afe ndio upate nafasi au astaafu nimekaa natafakari hii system yetu inaboa ila huu wote ndio urasim hiv kuna kiongozi ambae nae anasubiri mtu afe ili mkewe apate nafasi? ningekuwa nimeajiliwa ningehama sema mm ni mjasiliamali na mtaji wangu nimeuwekeza hapa dar
ni kama mwaka nahangaika kumuhamisha wife ambae ni mwalimu wa sec ahamie dar bila mafanikio sasa anaeweza kunisaidia kupata nafasi ani
PM nipo tayari for any cost
Jamani tujaribuni kuwa seriuos kwa anayeweza kusaidia swala la uhamisho kwani hata mi nimehangaikia wa mke wangu bila mafanikio mwaka na nusu sasa