I ibanezafrica JF-Expert Member Oct 23, 2014 7,261 6,553 Dec 27, 2016 #1 Kwa anayejua hali ya afya ya kiongozi wetu huyu James mbatia 'Mama Tanzania' atujuze,Mara ya mwisho nilisikia akiwa nchini India ki matibabu.
Kwa anayejua hali ya afya ya kiongozi wetu huyu James mbatia 'Mama Tanzania' atujuze,Mara ya mwisho nilisikia akiwa nchini India ki matibabu.
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,556 25,339 Dec 27, 2016 #2 Namtakia heri ya siku kuu pia namtakia uponyaji wa haraka.
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,372 54,931 Dec 27, 2016 #3 Nasikia amesharudi na hivi majuzi niliona waziri wa mambo ya ndani katupia picha mtandaoni akimjulia hali.
Nasikia amesharudi na hivi majuzi niliona waziri wa mambo ya ndani katupia picha mtandaoni akimjulia hali.
Elungata JF-Expert Member Jan 28, 2011 40,205 33,283 Dec 27, 2016 #4 Yeye kisharudi,@chaajabu bado yuko kitandani,hata mtu akimtembelea anapiga picha akiwa amelala, that means bado hali yake sio nzuri hata kidogo, kama tatizo ni mguu tu ,then labda umeungwa haujategemaa ama tatizo limeshindikana kisayansi
Yeye kisharudi,@chaajabu bado yuko kitandani,hata mtu akimtembelea anapiga picha akiwa amelala, that means bado hali yake sio nzuri hata kidogo, kama tatizo ni mguu tu ,then labda umeungwa haujategemaa ama tatizo limeshindikana kisayansi
kandere JF-Expert Member Jul 29, 2015 313 213 Dec 27, 2016 #5 James mbatia ni mmoja wa wanasiasa shupavu sana, hakika Mungu amtie nguvu arudi kwenye uwanja Wa siasa! 2020 sio mbali. Mungu atupe uzima
James mbatia ni mmoja wa wanasiasa shupavu sana, hakika Mungu amtie nguvu arudi kwenye uwanja Wa siasa! 2020 sio mbali. Mungu atupe uzima
K kabombe JF-Expert Member Feb 11, 2011 26,153 18,740 Dec 27, 2016 #6 Ukawa wanakujali ukiwa mzima tu.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 52,055 48,788 Dec 27, 2016 #8 Ugua pole mbunge wangu japo barabara ya Himo sokoni imerudia hali ya zamani kwa kuwa haikuwekwa mitaro ya maji kipindi ilivyochongwa
Ugua pole mbunge wangu japo barabara ya Himo sokoni imerudia hali ya zamani kwa kuwa haikuwekwa mitaro ya maji kipindi ilivyochongwa