biashara ya kuuza na kununu kitu muhimu ni beiHeshima wakuu..Heri ya mwaka mpya.. anayehitaje Nissan Xtrail tuwasiliane ni mpya ya 2004 reg.ni CLM Details zingine;
colour; silver
cc; 1990
fuel; petrol
Automatic transmission
imetembea 151,000/= km
Imported in june 2013 from Japan
check me in 0754 814 910 au ni-pm
Hii hapa mama mdogo..
Asante kwa kutuwekea picha, ila itapendeza zaidi ukiweka bei tarajiwa. Na hiyo namba plate, ante yake ni CLM au CCM? Naomba ufafanuzi tafadhali maana leo miwani sijavaa.
Heshima wakuu..Heri ya mwaka mpya.. anayehitaje Nissan Xtrail tuwasiliane ni mpya ya 2004 reg.ni CLM Details zingine;
colour; silver
cc; 1990
fuel; petrol
Automatic transmission
imetembea 151,000/= km
Imported in june 2013 from Japan
check me in 0754 814 910 au ni-pm
bei yake ni 17m wakuu.... Nawasilisha
Why? Nyie ndo mnakurupuka hamjui hata magari..... xtrail ndo habari ya mjini sahivi...affordable, iko luxury na haili mafuta...sasa wewe unajua nini?Hiyo umeoa ndoa ya kikristo ndugu yangu, ni wa kufa na kuzikana! Labda ukauze Sumbawanga..