- Thread starter
- #21
ni 1,700 mkuu, typing error ni per kg. nyeupe ni 1,500@kg na nyekundu ni 1,700@kgIyo 1700 ningechukua tani 20,usafili wangu, nakuja popote ata kama uko Mwanza
ni 1,700 mkuu, typing error ni per kg. nyeupe ni 1,500@kg na nyekundu ni 1,700@kgIyo 1700 ningechukua tani 20,usafili wangu, nakuja popote ata kama uko Mwanza
bei ni kwa kilo mkuu,Bei kwa kilo au nusu, sijui mnakua na haraka gani mnapotangaza.
Karanga mbichi na goma.
zipo nyekundu na nyeupe, nyekundu ni 2,700 kwa kilo na nyeupe ni 2,500 kwa kilo2500 au 2700?
ok! kama inalipa nitazitafuta c ni biashara dada angu.Smart wanataka zile ndogo, we umesema zako ni kubwa, pagumu hapo
zipo nyekundu na nyeupe, nyekundu ni 2,700 kwa kilo na nyeupe ni 2,500 kwa kilo
ni 1,700 mkuu, typing error ni per kg. nyeupe ni 1,500@kg na nyekundu ni 1,700@kg
Nina sambaza karanga mbichi kwa bei poa, karanga zinatokea mkoa mpya wa songwe wilaya ya mbozi, kubwa kubwa nyeumbe na nyekundu, bei yetu ni shilingi 2,500 nyeupe na 27,00 nyekundu, karibuni sana, tunapokea order kutoka sehemu mbalimbali, ofisi tunapatikana mbezi lui barabara ya kwenda msigani/kwembe, unaweza kutupata kwa namba za simu ;- 0653809008/0718949497 whatsap,
yes kuna errors zimefanyika mkuu, ila kuna walioelewa pia coz wamenipigia wanahitaji,pole kwa usumbufu.Hivi kwa akili yako na ufahamu ulionao unadhani kuwa umeeleweka vizuri kwenye hili tangazo lako ndugu...?
Ok unaweza fikisha kiasi ganini 1,700 mkuu, typing error ni per kg. nyeupe ni 1,500@kg na nyekundu ni 1,700@kg
wengi ambao hakuelewa waliniuliza vzr nikawapa maelezo ya kina hanx for ur attn, next time nitafanya vzr.yes kuna errors zimefanyika mkuu, ila kuna walioelewa pia coz wamenipigia wanahitaji,pole kwa usumbufu.
500kg kwa wikiOk unaweza fikisha kiasi gani
500kg kwa wikiOk unaweza fikisha kiasi gani
Weka hapa hayo marekebisho kipi ni kipiwengi ambao hakuelewa waliniuliza vzr nikawapa maelezo ya kina hanx for ur attn, next time nitafanya vzr.
Phidejoha, anayehitaji atakuwa amekuelewa. Kama anahitaji ufafanuzi aulize swali lake na si kukubali kupelekeshwa na ukosoaji usio na tija!!Weka hapa hayo marekebisho kipi ni kipi
Usiwe na haraka
Sawa uu mzigo upo wapi? Unakusanyanyia apa dar au wapi?500kg kwa wiki
mzigo naukusanyia songwe (mbozi) kila wiki gari inakuja na mzigo.Sawa uu mzigo upo wapi? Unakusanyanyia apa dar au wapi?
mean kila wiki kuna gari inaingia dar na mzigo.mzigo naukusanyia songwe (mbozi) kila wiki gari inakuja na mzigo.
Sawa ntakutafuta kweny namba yako,.. Ila kwa mzigo nao uhitaji ni zile ambazo hazijambenguliwa maganda, naomba zingatia hili,.. Ahsante ntakutafuta, muda si kitambo,mzigo naukusanyia songwe (mbozi) kila wiki gari inakuja na mzigo.
ok, karibuSawa ntakutafuta kweny namba yako,.. Ila kwa mzigo nao uhitaji ni zile ambazo hazijambenguliwa maganda, naomba zingatia hili,.. Ahsante ntakutafuta, muda si kitambo,
Unahitaji zile zenye maganda ya kuvunia, kutoka shambani au maganda haya ya kawaida ndo wayazungumzia?! Yaani yale yanayoonesha rangi ya karanga?!!Sawa ntakutafuta kweny namba yako,.. Ila kwa mzigo nao uhitaji ni zile ambazo hazijambenguliwa maganda, naomba zingatia hili,.. Ahsante ntakutafuta, muda si kitambo,