Mtoto mdogo hilii jina nimelipenda. Humuandai vizuri,kuweni na muda sio kukurupukiana tu elewaneni wapi anaamsha na wap hapaamshi. (Siku hizi kungwi ni GOOGLE utapata mengi)
muandae mwenzio
Duh!Wanaadamu hamstuki? Mmo tu kukoleza uzinzi! Mungu anatuona na kila mmoja atalipwa kwa kadri alivyofanikisha.
mkuu leo sina mudi ya hayo mamboI wish utiririke zaidi maana wewe ni hazina kwenye kufunda mambo ya mtanange.
Watoto wadogo hawajuhi hata maana ya kuandaana, waache uzinzi tu ndio salama yao
Inawezekana wewe ni nmoja wa wale wa kuvishwa pete.Uwe makini utakuja kuua.
Kama zipi dada au ndio rula pensel na ufutionjoo kabisa na zana za kujifunzia
bila kusahau pointa,kipimapembe,bikari na pleni pepaKama zipi dada au ndio rula pensel na ufutio
ha ha ha ntakuja na zile daftar za mistar mikubwa na midogobila kusahau pointa,kipimapembe,bikari na pleni pepa
eehh..fastaha ha ha ntakuja na zile daftar za mistar mikubwa na midogo
voda fasta?eehh..fasta