Dam55 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2015 Posts 5,661 Reaction score 12,014 Nov 27, 2015 #1 Habari zenu wakuu Nimekuwa na huyu binti kwa miezi 5 sasa, leo anadai hakunipenda ila alikuwa na mimi kwa sababu tu. Hii ni haki kweli? inaniuma sana.
Habari zenu wakuu Nimekuwa na huyu binti kwa miezi 5 sasa, leo anadai hakunipenda ila alikuwa na mimi kwa sababu tu. Hii ni haki kweli? inaniuma sana.
G getrude kilonzi Member Joined Oct 24, 2015 Posts 18 Reaction score 0 Nov 27, 2015 #2 Shukuru Mungu kakupa ukweli mapema mpende akupendaye asiyekupenda tupa Kyle wasichana wako wengi na wanahitaji kupendwa
Shukuru Mungu kakupa ukweli mapema mpende akupendaye asiyekupenda tupa Kyle wasichana wako wengi na wanahitaji kupendwa
Dam55 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2015 Posts 5,661 Reaction score 12,014 Nov 27, 2015 Thread starter #3 getrude kilonzi said: Shukuru Mungu kakupa ukweli mapema mpende akupendaye asiyekupenda tupa Kyle wasichana wako wengi na wanahitaji kupendwa Click to expand... shukran
getrude kilonzi said: Shukuru Mungu kakupa ukweli mapema mpende akupendaye asiyekupenda tupa Kyle wasichana wako wengi na wanahitaji kupendwa Click to expand... shukran
mshana org JF-Expert Member Joined Jan 28, 2012 Posts 2,091 Reaction score 619 Nov 27, 2015 #4 broo kwanza huyo mzuri aliyekueleza ukweli wake kuliko angekupotezea muda tafta atakayekupenda wala usilazimishe maji kupanda mlima
broo kwanza huyo mzuri aliyekueleza ukweli wake kuliko angekupotezea muda tafta atakayekupenda wala usilazimishe maji kupanda mlima
Principle girl JF-Expert Member Joined Jul 31, 2014 Posts 1,675 Reaction score 1,754 Nov 27, 2015 #5 Shukuru kakwambia ukweli mapema,kubaliana na ukweli pia usijali wala usihuzunike sana..utapata ataekupenda kwa dhati huyo hakuwa chaguo lako.
Shukuru kakwambia ukweli mapema,kubaliana na ukweli pia usijali wala usihuzunike sana..utapata ataekupenda kwa dhati huyo hakuwa chaguo lako.
Dam55 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2015 Posts 5,661 Reaction score 12,014 Nov 28, 2015 Thread starter #6 Principle girl said: Shukuru kakwambia ukweli mapema,kubaliana na ukweli pia usijali wala usihuzunike sana..utapata ataekupenda kwa dhati huyo hakuwa chaguo lako. Click to expand... Ahsante sana mkuu
Principle girl said: Shukuru kakwambia ukweli mapema,kubaliana na ukweli pia usijali wala usihuzunike sana..utapata ataekupenda kwa dhati huyo hakuwa chaguo lako. Click to expand... Ahsante sana mkuu