toriyama
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,546
- 3,196
• BOT haijatoa taarifa Rasmi kama mifumo yake imeingiliwa
(Ikiwa watakataa kubali atatoa fundisho)
• Amefanya mazungumzo na kiongozi wa DP world , chairman wao na CEO WAO
• Amemuambia chairman wa DP world kuwa miamala yake ipo wazi
(Kampigia simu Leo na kuongea nae kwa simu)
• mifumo ya kifedha ( Gepg, tips , tiss ipo wazi)
• Kuna uwezekano desemba mishahara zisifanyike watazuia mifumo ya kifedha..
• mifumo ya fedha haipo Salama tena anatahadharisha desemba itakuwa mwezi mgumu sana miamala ya kifedha
Lengo ni ku paralysis government
Wengine waende Ofisi za UN
UPDATE: NOV 25
-Leo anataja mambo muhimu kuonesha mifumo ya BOT imeingiliwa atataja na majina ya watu muhimu
- Mifumo ya kibenk haipo sawa Kuna watu wameingiziwa pesa zaidi ya million 20 na wengine wamekamatwa na kufungiwa akaunt zao wanafunzi wa chuo.. mifumo zimechezewa ndio maana wameshindwa kurudisha kwa wakati
Kufatilia live hiyo ingia TikTok washa VPN andika neno summerclif00 ufatilie LIVE yake au ingia instagram andika NURUVAZI yupo live
(Ikiwa watakataa kubali atatoa fundisho)
• Amefanya mazungumzo na kiongozi wa DP world , chairman wao na CEO WAO
• Amemuambia chairman wa DP world kuwa miamala yake ipo wazi
(Kampigia simu Leo na kuongea nae kwa simu)
• mifumo ya kifedha ( Gepg, tips , tiss ipo wazi)
• Kuna uwezekano desemba mishahara zisifanyike watazuia mifumo ya kifedha..
• mifumo ya fedha haipo Salama tena anatahadharisha desemba itakuwa mwezi mgumu sana miamala ya kifedha
Lengo ni ku paralysis government
Wengine waende Ofisi za UN
UPDATE: NOV 25
-Leo anataja mambo muhimu kuonesha mifumo ya BOT imeingiliwa atataja na majina ya watu muhimu
- Mifumo ya kibenk haipo sawa Kuna watu wameingiziwa pesa zaidi ya million 20 na wengine wamekamatwa na kufungiwa akaunt zao wanafunzi wa chuo.. mifumo zimechezewa ndio maana wameshindwa kurudisha kwa wakati
Kufatilia live hiyo ingia TikTok washa VPN andika neno summerclif00 ufatilie LIVE yake au ingia instagram andika NURUVAZI yupo live