PreGE2025 Anaandika Mchome kada wa CHADEMA

PreGE2025 Anaandika Mchome kada wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
Kwa tiketi ya Chauma
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
inashangaza sana demokrasia ya ndani ya chadema aise,

watu walituhumu wengine kwamba ni wala rushwa ndani ya kamati kuu ya chadema bila ushahidi, na ikaonekana ni uhuru na haki ya kujieleza kwa uwazi ndani ya chadema,

sasa haijulikani tatizo liko wapi watu wakitangaza nia za kugombea udiwani, ubunge na urais kupitia chadema, kupinga na kupuuza utapeli wa no reform no elections kwa uhuru na uwazi eti ina kua nongwa na shida kubwa sana?

huo si ndio uhuru na haki ya kujieleza my friends, ladies and gentleman? na ndio chadema inaupigania kwa wanachadema na wananchi wote kwa ujumla, au mambo yamebadilika? :pedroP:
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
Hajazuiwa kugombea, atagombea ,Vyama ni vingi.
 
inashangaza sana demokrasia ya ndani ya chadema aise,

watu walituhumu wengine kwamba ni wala rushwa ndani ya kamati kuu ya chadema bila ushahidi, na ikaonekana ni uhuru na haki ya kujieleza kwa uwazi ndani ya chadema,

sasa haijulikani tatizo liko wapi watu wakitangaza nia za kugombea udiwani, ubunge na urais kupitia chadema, kupinga na kupuuza utapeli wa no reform no elections kwa uhuru na uwazi eti ina kua nongwa na shida kubwa sana?

huo si ndio uhuru na haki ya kujieleza my friends, ladies and gentleman? na ndio chadema inaupigania kwa wanachadema na wananchi wote kwa ujumla, au mambo yamebadilika? :pedroP:
No Reforms, No Election
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
Vyama viko vingi na si chadema pekee,anaweza kwenda kugombea ubunge kupitia chama kingine.
 
Huwa nikiwaona ama kuwasikia wanasiasa ninakereka sana.

Muda wowote mwanasiasa yeyote anakuwa popote.

Yaani ni vinyonga haswa. Hayana misimamo, jitu likishahongwa linabwatuka tu.
 
Karibu watu wa Mwanga tupo ila mie bila hela sikupigii kampein ng'o
Sisi ndiyo tulomuweka Tadayo na Sasa tutamtoa i
 
Huwa nikiwaona ama kuwasikia wanasiasa ninakereka sana.

Muda wowote mwanasiasa yeyote anakuwa popote.

Yaani ni vinyonga haswa. Hayana misimamo, jitu likishahongwa linabwatuka tu.
Ndiyo maana natamani tungekuwa na vijana wazalendo aina ya Captain Ibrahim Traore ndani ya JWTZ na TISS ili tuachane na wanasiasa kwa miaka mitano vyama vyote vifutwe tuanze upyaaa kwani kuna kakikundi kadogo kanaona kana hatimiliki ya nchii hii.
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
You are just a rubish na hutusumbui mbayuwayu mmoja, endelea kutunisha mgongo na majibu yake utayapata.
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
Huyu kuna kitu anatafuta huyu!!
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
Domo kubwa kama chai jaba.
 
Ndiyo maana natamani tungekuwa na vijana wazalendo aina ya Captain Ibrahim Traore ndani ya JWTZ na TISS ili tuachane na wanasiasa kwa miaka mitano vyama vyote vifutwe tuanze upyaaa kwani kuna kakikundi kadogo kanaona kana hatimiliki ya nchii hii.

Mambo ya ajabu kabisa.

Hata yule Mrema wa CHADEMA naye ameshafika bei.
 
Maridhiano yalikua ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu la chama na watu walitoka hadharani na kupinga kwa uhuru kabisa.

No reform No election ni maamuzi ya chama na yalipitishwa na baraza kuu kwanini iwe haramu kupinga?. Binafsi ntagombe ubunge Mwanga mwaka huu.
anaepinga mabadiliko anakuwa anataka uchaguzi wa kuchinja kuua kuteka kuenguliwa na kubambikizia kesi wapinzani

May be ana maslahi na hayo mambo
 
Back
Top Bottom