Ana PCB, EDC atapata BSC Nursing?

Ana PCB, EDC atapata BSC Nursing?

Labdah vyuo private kama St.John n.k Ndoo KWA haraka anaweza pata bila stress,,pia ajipange tu kama asipopata mkopo huku atajilipia.......serikalini uku KWA mbinde


Cha msingi ni atulize kichwa na afanye maamuzi sahihi maana muda ni mchache na atahitaji kufanya maamuzi sahihi
Ndugu yangu kapata ufaulu huo hapo juu.

Amepata accountancy IFM Ila lengo lake asome Bachelor of Nursing.

Je, kwa hapa Bongo atapata chuo gani? Ushauri please?
 
Jaman kuna mdogo wang kachaguliwa kozi ya acquaculture ss ananiuliza vp iyo kozi itamfaa au mana analia tu haelew n mtt wa kike
Bila shaka hio kozi ni ya SUA......

Swali langu hio kozi mpaka amechaguliwa si ilikuwa priority yake???

Ni nzuri asee ila kama Ni SUA nasisitiza hakuna mchezo mchezo huku chuo ni cha moto...pia kama hana option nyingne pakwenda mnitafte KWA maelezo zaidi
 
Bila shaka hio kozi ni ya SUA......

Swali langu hio kozi mpaka amechaguliwa si ilikuwa priority yake???

Ni nzuri asee ila kama Ni SUA nasisitiza hakuna mchezo mchezo huku chuo ni cha moto...pia kama hana option nyingne pakwenda mnitafte KWA maelezo zaidi
Hahahaha ni nzuri? Kwa mlengo upi? Ajira zake anaweza kuomba maeneo gani,akitaka akijiajiri kuna uwezekano huo kwa mtaji wa wastani? Hivyo ndo anachotaka kusikia ukisema nzuri tuu sio sawa
 
Hahahaha ni nzuri? Kwa mlengo upi? Ajira zake anaweza kuomba maeneo gani,akitaka akijiajiri kuna uwezekano huo kwa mtaji wa wastani? Hivyo ndo anachotaka kusikia ukisema nzuri tuu sio sawa
Soma vizuri nilichomshauri.....umekurupuka
 
Soma vizuri nilichomshauri.....umekurupuka
Atubishani tunaelekezana, sentensi ya mwisho umesema ni nzuri asee iyo ndo niliyo kuuliza nzuri kwa muktadha upi maana inaonekna aliyechagua aliiweka option ya mwisho kukamilisha ratiba sio kitu alichopenda kusoma
 
Atubishani tunaelekezana, sentensi ya mwisho umesema ni nzuri asee iyo ndo niliyo kuuliza nzuri kwa muktadha upi maana inaonekna aliyechagua aliiweka option ya mwisho kukamilisha ratiba sio kitu alichopenda kusoma
"Pia kama hana option nyingne pakwenda mnitafute KWA msaada zaidi"hii ndiyo sentensi ya mwisho .....

Na hakuna sehemu yeye kasema kaweka option ya mwisho(Umetunga haya maneno na ni mawazo YAKO)) ......hujanielewa vizuri ww sijamforce aje na nimesema mpaka ameiweka kama option si ilikuwa priority kwake ???
"DON'T JUDGE THE BOOK BY ITS COVER"
 
"Pia kama hana option nyingne pakwenda mnitafute KWA msaada zaidi"hii ndiyo sentensi ya mwisho .....

Na hakuna sehemu yeye kasema kaweka option ya mwisho(Umetunga haya maneno na ni mawazo YAKO)) ......hujanielewa vizuri ww sijamforce aje na nimesema mpaka ameiweka kama option si ilikuwa priority kwake ???
"DON'T JUDGE THE BOOK BY ITS COVER"
neno nzurii asee, ndo point nilitaka uifafanue kumsaidia kuielewa zaidi kozi lakini naona utaki kuelewa wala kumuelewesha mwenye swali
 
neno nzurii asee, ndo point nilitaka uifafanue kumsaidia kuielewa zaidi kozi lakini naona utaki kuelewa wala kumuelewesha mwenye swali
Mwenye swali hajaleta feedback ko tulia tu .....kunywa mtori nyama zipo chini
 
Bila shaka hio kozi ni ya SUA......

Swali langu hio kozi mpaka amechaguliwa si ilikuwa priority yake???

Ni nzuri asee ila kama Ni SUA nasisitiza hakuna mchezo mchezo huku chuo ni cha moto...pia kama hana option nyingne pakwenda mnitafte KWA maelezo zaidi
Yah chuo n SUA na ilikuwa option ya mwisho na ndo kapata iyo lakin haelew kama itakuja kumsaidia huko mbelen yaan kifupi haelew yaan na watu wanamzingua sn msuli wa SUA n mgumu mno ss anawasi asije jiumiza kichwa miaka yote aje apate stress mtaan bora akasome hata diploma ya udaktar na sie ndugu zake hatukufika izo level za elimu ya juu
 
Yah chuo n SUA na ilikuwa option ya mwisho na ndo kapata iyo lakin haelew kama itakuja kumsaidia huko mbelen yaan kifupi haelew yaan na watu wanamzingua sn msuli wa SUA n mgumu mno ss anawasi asije jiumiza kichwa miaka yote aje apate stress mtaan bora akasome hata diploma ya udaktar na sie ndugu zake hatukufika izo level za elimu ya juu
Kaka kwanza amna kitu kigumu mtu ukikipenda ila kama ulilazimisha ndo shida inakuja kwenye kujitoa, la pili kama swala ni ajira ndo mawazo yake me binafsi nitakushauri mjipange asome diploma ya kozi za afya kama ndo vitu anapenda ijapokuwa sio guarantee kuwa uko ndo kuna ajira 100% .
 
Yeye anataka Bachelor of Nursing
 
Mtu mpaka anamaliza form six Hana habari kuhusu TCU guidebook inafikirisha
 
Kozi za afya dah binafsi natamani kusepa kwa hii field
 
Back
Top Bottom