Ana mimba

Ana mimba

Hi! Jf, swali kwa wanajua tu.leo nmempeleka mchumba wangu hospital amepima amekutwa ana mimba ya mwezi mmoja,, bt ameingia period leo, je mtu anaweza kuingia period while yuko mimba ya mwezi mzima? Majibu kwa daktar 2mechukua wote.

Nawasilisha.
Utafiti unaonesha kwamba kati ya asilimia 20 hadi 30 ya wanawake wenye mimba changa wanapata hali ya ku- bleed, na karibu nusu yao, mimba zao zinakuwa hazijaharibika. Hii ni hali ya kawaida, ingawaje kuna uja uzito ambao siyo halisia ambao pia husababisha ku-bleed. Aina hii ya uja uzito mara nyingi hutokana na kukua kwa abnormal tissues badala ya kuwepo kwa kitoto kichanga (molar pregnancies). Katika hali hii bleeding hutokea, na hujulikana kama Gestational trophoblastic disease. Dalili za hali hii ni kutoka damu ukeni, kutokuwepo kwa mapigo ya moyo ya kichanga (kwa sababu hakipo) na kuonesha kiwango kikubwa cha hGC katika damu. Anaway tuache hiyo, lakini kwa ufupi, Bleeding can occur in early pregnancy due to the following factors;

  • Implantation bleeding can occur anywhere from 6-12 days after possible conception. Every woman will experience implantation bleeding differently—some will lightly spot for a few hours, while others may have some light spotting for a couple of days.
  • Some type of infection in the pelvic cavity or urinary tract may cause bleeding.
  • After intercourse some women may bleed because the cervix is very tender and sensitive. You should discontinue intercourse until you have been seen by your doctor. This is to prevent any further irritation—having normal sexual intercourse does not cause a miscarriage.
 
mi naona kama ni vyema muende tena hospitali just to be on the safe side
 
Inatokeaga ila haiwi bleeding heavy nausipo enda mwona gyno(dr wa maswala ya wanawake) inaweza toka.mana hyo c dalili nzuri.so aende hospital fastaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom